Moja kati ya mafanikio ya uongozi huu wa Magufuli ni kuwaonyesha Watanzania hakuna aliye juu ya sheria. Awe mbunge, Waziri au kiongozi wa Chama chochote.
Awamu ya nne tulishuhudia Mtu akimwagiwa tindikali na wahusika kuachwa wakiendelea na maisha ya kawaida. Mpaka leo Mh Mbowe anatajwa kuhusika na tukio hilo.
Awamu ya nne pia tukashuhudia mabomu Arusha yaliyoua watu kadhaa. Chanzo cha yote hayo ikiwa siasa chafu za Lema na Mbowe. Hadi awamu ya nne inaondoka madarakani hakuna aliyechukuliwa hatua.
Awamu ya nne hio hio mh Wengwe akafanyiwa zengwe la ajali bado hakuna aliyehusika aliyefikishwa mbele ya vyombo vya sheria.
Maana yake nini? Awamu zilizopita wenye vyeo, pesa na majina makubwa walikuwa juu ya sheria huku wanyonge wakilipa kwa kuumizwa ili tuu wenyewe wasiguswe.
Hali ni tofauti leo, Mh Mbowe anamalizia Mwaka gerezani kwa kuandaa maandamano yaliyoletea kifo cha Akwilina.
Tunasema hii ni hatua na kama Tanzalendo tunapongeza kwa hili. Pia tunapongeza sana wananchi kudharau maigizo.
Mwanzo walidhani watanzania wataandamana Mbowe aachiwe ingawa matokeo yake wanspongeza sana na maafa katika mikutano na mikusanyiko isiyo halali yamepungua.
Tukisema Kazi inafanyika tunamaanisha pamoja na haya.
Awamu ya nne tulishuhudia Mtu akimwagiwa tindikali na wahusika kuachwa wakiendelea na maisha ya kawaida. Mpaka leo Mh Mbowe anatajwa kuhusika na tukio hilo.
Awamu ya nne pia tukashuhudia mabomu Arusha yaliyoua watu kadhaa. Chanzo cha yote hayo ikiwa siasa chafu za Lema na Mbowe. Hadi awamu ya nne inaondoka madarakani hakuna aliyechukuliwa hatua.
Awamu ya nne hio hio mh Wengwe akafanyiwa zengwe la ajali bado hakuna aliyehusika aliyefikishwa mbele ya vyombo vya sheria.
Maana yake nini? Awamu zilizopita wenye vyeo, pesa na majina makubwa walikuwa juu ya sheria huku wanyonge wakilipa kwa kuumizwa ili tuu wenyewe wasiguswe.
Hali ni tofauti leo, Mh Mbowe anamalizia Mwaka gerezani kwa kuandaa maandamano yaliyoletea kifo cha Akwilina.
Tunasema hii ni hatua na kama Tanzalendo tunapongeza kwa hili. Pia tunapongeza sana wananchi kudharau maigizo.
Mwanzo walidhani watanzania wataandamana Mbowe aachiwe ingawa matokeo yake wanspongeza sana na maafa katika mikutano na mikusanyiko isiyo halali yamepungua.
Tukisema Kazi inafanyika tunamaanisha pamoja na haya.