johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,891
- 141,824
Rais Samia Suluhu Hassan amesema hii ni Serikali ya awamu ya 6 hivyo atakayeshindwa kasi yake ataachwa njiani.
Namshukuru sana Rais Samia kwa kuliweka sawa hili kwani jana watu wengi walinibishia nilipowaambia mimi naamini hii ni awamu ya 6.
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!
Namshukuru sana Rais Samia kwa kuliweka sawa hili kwani jana watu wengi walinibishia nilipowaambia mimi naamini hii ni awamu ya 6.
Kila zama na kitabu chake.
Maendeleo hayana vyama!