Awamu ya Sita inaendeleza tabia ya kuitenga mikoa ya Nyanda za Juu Kusini na Kusini

Salamu kwenu.

Naona viongozi wa awamu ya 6 wanaendelea na tabia ya kuitenga mikoa ya Kusini kwenye maeneo mengi tu.

Chief Hangaya yeye amejikita Dodoma, Kanda ya Ziwa, Dar, Kanda ya Kaskazini na Zanzibar.

Mwisho wa mwaka Rais alikuwa awe mgeni Rasmi Siku ya Ukimwi Duniani na hakuja, hakuna sababu zilitolewa.

Kanda nilizotaja hapo juu wanarudia mara mbili mbili, hii tabia inaonyesha wazi kabisa kwamba hata kwenye mgawanyo wa miradi ya maana hawajengi huku Kusini ndio maana hawaoni haja ya kuja.

Tuna miradi mingo tuu ilishakwama Miaka na Miaka kama Liganga na mchuchuma, uwanja wa Songwe, barabara kibao tuu za kuunganisha Mkoa na Mkoa Bado mavumbi, Southern Circuit ya Utalii ilishatelekezwa, Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Afya Udsm Mbeya wametelekeza kwa kisingizio cha kukosa Ardhi, Tazara nk.

Mkoa wa Ruvuma kwa mfano haijaunganishwa na barabara yeyote ya maana na nchi jirani wala Ziwa Nyasa hakuna meli ya abiria.

Ikiwa Hawa wa awamu ya 6 nao wameamua kuwa kama awamu ya 5 ni vyema watu wa Kusini tuamue kutembea na Upinzani ijulikane moja.

Kanda ya Kusini/ Nyanda za Juu Kusini iko namba 3 kuchangia Pato laTaifa ambalo linawanufaisha wengine, hii sio sawa. Ona hapa Rais anaenda Tena Kaskazini wakati katoka huko si zaidi ya miezi 2👇

View attachment 2088969
Ni nini Muhimu wa hili tamasha? Gharama anazotumia kwenda huko Kilimanjaro inalipwa na Nani?
Badala ya kwenda kukagua miradi na kupitia vikao vya chama kumpata spika makini Anazurura tu.
 
Yaani huyu mleta mada nimemchunguza alikuwa na chuki sana na kanda ya ziwa! Alivyo bwege alidhani baada ya mama Samia kuingia ataitosa hajui kuwa kanda ya ziwa na kanda ya kaskazini ndo injini za nchi hii!?
Acha kuvuta bangi ya chooni,inakuharibu
 
Acha kuvuta bangi ya chooni,inakuharibu
Nimekwambia wewe ni mpumbavu kumbe matusi yote kwa awamu ya tano ni kwa kuwa ulihisi haiwapendi kanda ya nyanda za juu Kusini! Nyie endeleni si mnarais wenu Sugu! Endeleeni kujenga majumbani ya tope kama yalivyojazana hapo Mbalizi! Hiyo Mbeya yenyewe utafikiri zizi la nguruwe! Hakuna mpangilio nyumba za ovyo shagarabagara!
 
Salamu kwenu.

Naona viongozi wa awamu ya 6 wanaendelea na tabia ya kuitenga mikoa ya Kusini kwenye maeneo mengi tu.

Chief Hangaya yeye amejikita Dodoma, Kanda ya Ziwa, Dar, Kanda ya Kaskazini na Zanzibar.

Mwisho wa mwaka Rais alikuwa awe mgeni Rasmi Siku ya Ukimwi Duniani na hakuja, hakuna sababu zilitolewa.

Kanda nilizotaja hapo juu wanarudia mara mbili mbili, hii tabia inaonyesha wazi kabisa kwamba hata kwenye mgawanyo wa miradi ya maana hawajengi huku Kusini ndio maana hawaoni haja ya kuja.

Tuna miradi mingo tuu ilishakwama Miaka na Miaka kama Liganga na mchuchuma, uwanja wa Songwe, barabara kibao tuu za kuunganisha Mkoa na Mkoa Bado mavumbi, Southern Circuit ya Utalii ilishatelekezwa, Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Afya Udsm Mbeya wametelekeza kwa kisingizio cha kukosa Ardhi, Tazara nk.

Mkoa wa Ruvuma kwa mfano haijaunganishwa na barabara yeyote ya maana na nchi jirani wala Ziwa Nyasa hakuna meli ya abiria.

Ikiwa Hawa wa awamu ya 6 nao wameamua kuwa kama awamu ya 5 ni vyema watu wa Kusini tuamue kutembea na Upinzani ijulikane moja.

Kanda ya Kusini/ Nyanda za Juu Kusini iko namba 3 kuchangia Pato laTaifa ambalo linawanufaisha wengine, hii sio sawa. Ona hapa Rais anaenda Tena Kaskazini wakati katoka huko si zaidi ya miezi 2👇


Uko sahihi kabisa ushauri wangu naishairi serikari yetu kuunda mfumo wa centralise ili Selikali kuu uwepo kwa maana ya kupata gawio lao basi ! Na fesha zingine mikoa iamue na kujikita katika miradi ya mkoa husika ,Serikali kuu ibaki kukagua na kucontral matumizi Sasa hv wanakusanya na kupeleka kwenye interest ya wakubwa sio sawa
 
Salamu kwenu.

Naona viongozi wa awamu ya 6 wanaendelea na tabia ya kuitenga mikoa ya Kusini kwenye maeneo mengi tu.

Chief Hangaya yeye amejikita Dodoma, Kanda ya Ziwa, Dar, Kanda ya Kaskazini na Zanzibar.

Mwisho wa mwaka Rais alikuwa awe mgeni Rasmi Siku ya Ukimwi Duniani na hakuja, hakuna sababu zilitolewa.

Kanda nilizotaja hapo juu wanarudia mara mbili mbili, hii tabia inaonyesha wazi kabisa kwamba hata kwenye mgawanyo wa miradi ya maana hawajengi huku Kusini ndio maana hawaoni haja ya kuja.

Tuna miradi mingo tuu ilishakwama Miaka na Miaka kama Liganga na mchuchuma, uwanja wa Songwe, barabara kibao tuu za kuunganisha Mkoa na Mkoa Bado mavumbi, Southern Circuit ya Utalii ilishatelekezwa, Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Afya Udsm Mbeya wametelekeza kwa kisingizio cha kukosa Ardhi, Tazara nk.

Mkoa wa Ruvuma kwa mfano haijaunganishwa na barabara yeyote ya maana na nchi jirani wala Ziwa Nyasa hakuna meli ya abiria.

Ikiwa Hawa wa awamu ya 6 nao wameamua kuwa kama awamu ya 5 ni vyema watu wa Kusini tuamue kutembea na Upinzani ijulikane moja.

Kanda ya Kusini/ Nyanda za Juu Kusini iko namba 3 kuchangia Pato laTaifa ambalo linawanufaisha wengine, hii sio sawa. Ona hapa Rais anaenda Tena Kaskazini wakati katoka huko si zaidi ya miezi 2👇

Nafurahi kuona kumbe hili ulishalisema..
Ngoja tuone...
 
Ila data za BOT zinasema Ruvuma ni tajiri kuliko Arusha hivyo mpaka hapo mpo vizuri.
 
Salamu kwenu.

Naona viongozi wa awamu ya 6 wanaendelea na tabia ya kuitenga mikoa ya Kusini kwenye maeneo mengi tu.

Chief Hangaya yeye amejikita Dodoma, Kanda ya Ziwa, Dar, Kanda ya Kaskazini na Zanzibar.

Mwisho wa mwaka Rais alikuwa awe mgeni Rasmi Siku ya Ukimwi Duniani na hakuja, hakuna sababu zilitolewa.

Kanda nilizotaja hapo juu wanarudia mara mbili mbili, hii tabia inaonyesha wazi kabisa kwamba hata kwenye mgawanyo wa miradi ya maana hawajengi huku Kusini ndio maana hawaoni haja ya kuja.

Tuna miradi mingo tuu ilishakwama Miaka na Miaka kama Liganga na mchuchuma, uwanja wa Songwe, barabara kibao tuu za kuunganisha Mkoa na Mkoa Bado mavumbi, Southern Circuit ya Utalii ilishatelekezwa, Ujenzi wa Chuo Kikuu cha Afya Udsm Mbeya wametelekeza kwa kisingizio cha kukosa Ardhi, Tazara nk.

Mkoa wa Ruvuma kwa mfano haijaunganishwa na barabara yeyote ya maana na nchi jirani wala Ziwa Nyasa hakuna meli ya abiria.

Ikiwa Hawa wa awamu ya 6 nao wameamua kuwa kama awamu ya 5 ni vyema watu wa Kusini tuamue kutembea na Upinzani ijulikane moja.

Kanda ya Kusini/ Nyanda za Juu Kusini iko namba 3 kuchangia Pato laTaifa ambalo linawanufaisha wengine, hii sio sawa. Ona hapa Rais anaenda Tena Kaskazini wakati katoka huko si zaidi ya miezi 2👇

Hahahah wa kusini mtusamehe! Mpunguze ushirikina watu wafanye maendeleo basi khaaah! Yani mpaka mwaka 2022 njiani kuna nyumba za makuti
 
Kaskazini mwa Tanzania kumejengeka ngome za upinzani, CCM inajikuta inaingia gharama kubwa za kushawishi wananchi kupitia maendeleo kumbe ndio inajikuta inasahau upande mmoja. Ila msiaminishane sana haya mambo, kuna mkoa unaitwa Kigoma, nitarudi baadae.
 
Ndio mkuu,hawaleti miradi ndio maana hawaji .
Kila kukicha huwa unasema nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini ina miradi mingi na uchumi mkubwa kuliko kanda ya ziwa ukadiriki kusema ata Mwanza inazidiwa na njombe sasa mbona unalia lia nini? Acha rais apeleke maendeleo kwanza sehemu za maskini huko Mwanza na mikoa ya kaskazini then atawakumbuka nyie matajiri wa njombe.
 
Kila kukicha huwa unasema nyanda za juu kusini na mikoa ya kusini ina miradi mingi na uchumi mkubwa kuliko kanda ya ziwa ukadiriki kusema ata Mwanza inazidiwa na njombe sasa mbona unalia lia nini? Acha rais apeleke maendeleo kwanza sehemu za maskini huko Mwanza na mikoa ya kaskazini then atawakumbuka nyie matajiri wa njombe.
Wanaleta miradi midogo midogo haina hadhi ya Rais .
 
Back
Top Bottom