Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,638
- 218,073
Ile kampeni ya kuhamasisha upatikanaji wa Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi iliyotikisa Nchini Tanzania ya OPERESHENI HAKI , itaendelea tena baada ya kusimama kwa muda kwenye Kanda ya Pwani na baadaye Zanzibar na Pemba ,
Taarifa hii imetolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na vyombo vya habari , ambapo amedai kwamba walilazimika kusitisha operesheni hiyo ambayo tayari imepigwa kwenye mikoa 24 kutokana na kifo cha Mwanachama wao Profesa Baregu , hata hivyo amesifu mafanikio ya operesheni hiyo kote ilikopita na kwamba kwa kadri ya makadirio yao imevuka malengo kwa kiwango cha kutisha .
Chanzo : Mwananchi .
Taarifa hii imetolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh John Mnyika alipokuwa anaongea na vyombo vya habari , ambapo amedai kwamba walilazimika kusitisha operesheni hiyo ambayo tayari imepigwa kwenye mikoa 24 kutokana na kifo cha Mwanachama wao Profesa Baregu , hata hivyo amesifu mafanikio ya operesheni hiyo kote ilikopita na kwamba kwa kadri ya makadirio yao imevuka malengo kwa kiwango cha kutisha .
Chanzo : Mwananchi .