Jisomeshe
Mmh!! Hata kama kusoma cijui! Kweli ofisi ya serikali wafanye kazi saa 10 jioni!! Hawana familia!!?Tuliza ball. Tarehe 21 inaenda Hadi saa tano na dakika 59 usiku wa Leo.
Huwa wanafanya viporo vikiwa vingi, alafu kazi za serikali hazilali ni milango hufungwa na watu hutoka ofisini ila kazi za serikali huendelea 24/7.Mmh!! Hata kama kusoma cijui! Kweli ofisi ya serikali wafanye kazi saa 10 jioni!! Hawana familia!!?
Google overtime mamaaaMmh!! Hata kama kusoma cijui! Kweli ofisi ya serikali wafanye kazi saa 10 jioni!! Hawana familia!!?
Tuliza kipamba mzee, kitaumana baadae kidogo. Kaa utulie kama unatindwa vile, wanyama wanachakata maombi hadi usku utaona tu kimeumanaHESLB bodi ya mikopo wanadai upangaji mikopo bado unaendelea wakati tunavyojua awamu ya pili ilitakiwa kutolewa tarehe 21.
Wasiwasi wakuu, tutiane moyo kwa hilo!
Babu ni kweli Ila umejibu kinyamaaa dah!😂Tuliza ball. Tarehe 21 inaenda Hadi saa tano na dakika 59 usiku wa Leo.
Unataka kutu hakikishia zege hailali?Tuliza kipamba mzee, kitaumana baadae kidogo. Kaa utulie kama unatindwa vile, wanyama wanachakata maombi hadi usku utaona tu kimeumana
Kesho saa sita au leo saa sita mkuu. Nadhani itakuwa leo usiku ndo mtu anatembezewa kichapo mujaarabKesho saa sita.kaa mkao wa kupokea kipgo cha mbwa koko
Elizabeth. Nenda kwa account yako ya HESLB wamejiongezea mda mpk 25th October ndio watatoa majibu.HESLB bodi ya mikopo wanadai upangaji mikopo bado unaendelea wakati tunavyojua awamu ya pili ilitakiwa kutolewa tarehe 21.
Wasiwasi wakuu, tutiane moyo kwa hilo!
dingi waoneeni hurumaTupeane mda vijana au mnataka tuwape jero jero
Mkuu nakukumbuka, tulikuwa wrote humu tunasota,, we uko chuo gani.?Dah hii hali mnayopitia mwaka jana tu nilikuwa na jamaa zangu humu kila mda tunasubiri lkn nashukuru batch ya 2 ilipotoka dah nilikuta mzigo unasoma 100%
sikuamini.
Mtapata ombeni kwa Mwenyezi Mungu mambo aya wkt mwingine ni bahati.
Nakukumbuka sana shombe la kisomali tulipata wote awamu ya piliMkuu nakukumbuka, tulikuwa wrote humu tunasota,, we uko chuo gani.?