johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,914
- 141,866
Kangomba wote siyo Zitto Kabwe wanamchukia sana Hayati Magufuli.
Huyu Zitto Kabwe aliokotwa na Freeman Mbowe pale Mlimani lakini kwa shukrani zake za punda akataka kumpindua chamani.
Zitto Kabwe ameuza chama kwa wapemba sasa ameanza kuweweseka ACT Wazalendo ndio CUF iliyochangamka bila Lipumba.
Mbowe ndiye mwanasiasa pekee aliyeumizwa na siasa za vyama vingi na siyo huyo kangomba wa korosho.
Huyu Zitto Kabwe aliokotwa na Freeman Mbowe pale Mlimani lakini kwa shukrani zake za punda akataka kumpindua chamani.
Zitto Kabwe ameuza chama kwa wapemba sasa ameanza kuweweseka ACT Wazalendo ndio CUF iliyochangamka bila Lipumba.
Mbowe ndiye mwanasiasa pekee aliyeumizwa na siasa za vyama vingi na siyo huyo kangomba wa korosho.