ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,894
Ki ukweli mimi si mwanasheria, na sina taaluma yoyote ya uanasheria zaidi ya kusoma intro ya sheria wakati nasoma masters, ila ili suala la katiba na elimu yangu yote nimekuja kujua umuhimu wa kuwa na katiba imara katika awamu hii ya tano.
Nilikuwaga nasikia watu mbalimbali wakilalamikia katiba, nilikuwa siwaelewi, nilishawahi kusikia hotuba ya nyerere akisema kwa katiba yetu akija mtu wa namna flani anaweza kuitumia vibaya,ila kiukweli kabisa sikumwelewa.
Nimekuja kugundua maraisi wengi waliopita nchini kwetu waliitumia vizuri katiba yetu mbaya iliyopo kiasi cha kutoonekana kama ina mapungufu hasa kwa sisi tusiojua sheria.
Nimekuja kujua jinsi katiba yetu inavyompa madaraka makubwa Raisi wa nchi kiasi kwamba nobody can do anything, tunabaki kuongea tumejificha kwenye keyboard au vijiwe vya stori. Kiufupi anaanza president then the constitution then vinafuata vingine.
Wakati wa awamu ya nne ilikuwa rahisi kubadili katiba hata kikwete alikuwa hana tatizo sana na hilo, wala hakuwahi kuitumia katiba vibaya na tuliona fresh tu.
Ila kwasasa hivi kila MTANZANIA ANAJUA NGUVU Ya kiti cha URAISI, na hata akija Raisi mwingine hata kama ni mimi sitapenda kupunguziwa nguvu ambazo tunaona raisi anazo kwa sasa, nitapiga kelele nikiwa nje ila nikiingia sitakubali kubadili katiba. Nasema hakuna Raisi ambaye atakuja kushinda uraisi akakubali kubadili katiba hata Akiwa mbowe, Lipumba, Majaliwa .
Tuliipoteza nafasi hiyo wakati wa Jakaya, haitatokea tena
Nilikuwaga nasikia watu mbalimbali wakilalamikia katiba, nilikuwa siwaelewi, nilishawahi kusikia hotuba ya nyerere akisema kwa katiba yetu akija mtu wa namna flani anaweza kuitumia vibaya,ila kiukweli kabisa sikumwelewa.
Nimekuja kugundua maraisi wengi waliopita nchini kwetu waliitumia vizuri katiba yetu mbaya iliyopo kiasi cha kutoonekana kama ina mapungufu hasa kwa sisi tusiojua sheria.
Nimekuja kujua jinsi katiba yetu inavyompa madaraka makubwa Raisi wa nchi kiasi kwamba nobody can do anything, tunabaki kuongea tumejificha kwenye keyboard au vijiwe vya stori. Kiufupi anaanza president then the constitution then vinafuata vingine.
Wakati wa awamu ya nne ilikuwa rahisi kubadili katiba hata kikwete alikuwa hana tatizo sana na hilo, wala hakuwahi kuitumia katiba vibaya na tuliona fresh tu.
Ila kwasasa hivi kila MTANZANIA ANAJUA NGUVU Ya kiti cha URAISI, na hata akija Raisi mwingine hata kama ni mimi sitapenda kupunguziwa nguvu ambazo tunaona raisi anazo kwa sasa, nitapiga kelele nikiwa nje ila nikiingia sitakubali kubadili katiba. Nasema hakuna Raisi ambaye atakuja kushinda uraisi akakubali kubadili katiba hata Akiwa mbowe, Lipumba, Majaliwa .
Tuliipoteza nafasi hiyo wakati wa Jakaya, haitatokea tena