chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 19,685
- 22,694
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 18 Agosti, 2017 amemteua Mhe. Jaji Barke Mbaraka Aboud Sehel kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Ushindani (Fair Competition Tribunal - FCT).
Mhe. Jaji Barke Mbaraka Aboud Sehel anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Mhe. Jaji Zainab Goronya Muruke ambaye amemaliza muda wake.
Kabla ya uteuzi huu Mhe. Jaji Barke Mbaraka Aboud Sehel alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu Divisheni ya Biashara.
Wajumbe wa Baraza la Ushindani ni;
Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
18 Agosti, 2017
=====
Rais Magufuli afiwa na mjukuu wake, makamu wa rais mama Samia Suluhu Hassan na rais mstaafu Kikwete wampa pole. Jun 8, 2016
Rais Dkt.John Pombe Magufuli akiwafariji wazazi wa Marehemu Jose Mlyambila na Suzan wakati wa ibada ya mazishi ya mjukuu wake marehemu Maryfaustina Yose Mlambila huko Temboni Kimara jijini Dar es Salaam leo
Mhe. Jaji Barke Mbaraka Aboud Sehel anachukua nafasi iliyoachwa wazi na Mhe. Jaji Zainab Goronya Muruke ambaye amemaliza muda wake.
Kabla ya uteuzi huu Mhe. Jaji Barke Mbaraka Aboud Sehel alikuwa Jaji wa Mahakama Kuu Divisheni ya Biashara.
Wajumbe wa Baraza la Ushindani ni;
- Mustafa Siyani
- Donald L. Chidowu
- Susana Mkapa
- Bibi Bitamo Kasuku Phillip
- Yose Joseph Mlyambina
- Dkt. Theodora Mwenegoha
Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam
18 Agosti, 2017
=====
Rais Magufuli afiwa na mjukuu wake, makamu wa rais mama Samia Suluhu Hassan na rais mstaafu Kikwete wampa pole. Jun 8, 2016
Rais Dkt.John Pombe Magufuli akiwafariji wazazi wa Marehemu Jose Mlyambila na Suzan wakati wa ibada ya mazishi ya mjukuu wake marehemu Maryfaustina Yose Mlambila huko Temboni Kimara jijini Dar es Salaam leo