Awamu hii maisha mazuri hayatakiwi??

Dejane

JF-Expert Member
Jan 1, 2014
49,643
68,586
Jana nimemsikiliza Mheshimiwa Rais akiwa kwenye ziara Shinyanga anasema watu walizoea starehe, kusafiri, kulala kwenye mahotel makubwa na huku wakilipwa lakin safari hii hakuna huo ujanjaa ujanja na ukiona hela imepotea mfukoni ujue ilikua sio ya kwako yaani sio halali.

Mlizoea kutumia pesa hovyo hovyo tu,
Najiuliza hivi ina maana mkuu wa nchi hataki watu tuishi kwa raha mustarehe?? Anataka watu wasisafiri, tusile vizuri, tusifurahie maisha bali tuishi maisha ya kimaskini yeye ndio anafurahia au, yeye akipangiwa bajeti kali hapo ikuku atakataa??

Au ndio ule msemo ,malaika wataishi kama mashetani anataka utimie mbona kuna nchi watu wanakula bata tu kwa sana ,ina maana yeye anafurahia kuona watu wakilia tu

Safari hiii tumepatikana jamaniii halafu eti tumuombee kwa lipi. Kauliza watu ''eti jamanii kwani hampendi ninavyowatumbua watu, kama siendeshi vizuri mambo mnaweza niruhusu niachie maana uraisi mmenipa nyie (huyu atakubali kuachia nchi huyu si ndio kina nkurunznza wanajiongezea miaka tu ?)''

Huyu mzee 2020 atadanganya watu,,na kwa vile watu hawana elimu watampa tu kura
Nimemaliza
 
Nimetoka nunua kiloba cha unga kg 25 kwa 33000 wakat mwaka jana nilinunua kwa 24,000

Yaan Nimemuelewa mkuu vzuri sana
 
Anafanya kinyumenyume yaan moja kuwa zero na zero kuwa moja matajiri waishi kama masikin na masikin waishi kama matajiri leo muokota makopo awe mramba na mramba awe muokota makopo
 
Haya ndio maisha bora kwa kila mtanzania n pato la taifa limepanda n as ni wastani wa Dola $12,000 kwa mwaka n tunawakimbilia shelisheli n morishiaz !tn apa zidi kujipanga mtukufu kwa kuongeza magari ya msafara yafike 200 n chatu iwe Ikulu badala ya magogoni
Endeleeni kuniombea maana mm ni msema kweli,
Kumbuka nchi haina njaa wala ukame
 
Enzi za jk haya maisha ndio wengi waliyataman hadi wakafikia kumsimanga baba wa watu,matusi tele,dharau debe. Saiv kajipumzikia zake msoga watu wanamkumbuka,wameshasahau walimuita vasco da gama kisa anatafuta misaada na chakula nje.
 
Haya ndio maisha bora kwa kila mtanzania n pato la taifa limepanda n as ni wastani wa Dola $12,000 kwa mwaka n tunawakimbilia shelisheli n morishiaz !tn apa zidi kujipanga mtukufu kwa kuongeza magari ya msafara yafike 200 n chatu iwe Ikulu badala ya magogoni
Endeleeni kuniombea maana mm ni msema kweli,
Kumbuka nchi haina njaa wala ukame
Tunakuombea uchukuliwe mapema
 
Back
Top Bottom