Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
makubwaa
Sasa wewe umetumwa,mambo ya Arsenal yanakujaje hapa!
Zaidi ya Selemani Omondi, unaweza kutueleza ni Mkenya gani tena mwingine aliwahi kujinyonga kwa sababu ya Arsenal?nimekumbushia tu mkuu sababu kila ikicheza arsenal na man u,lazima kijana ajinyonge kenya tena arsenal ikifungwa
Arsenal ni dhaifu sana kwa MAN UNITEDSasa wewe umetumwa,mambo ya Arsenal yanakujaje hapa!
Hii ni ile siku ya 5 mtungi?View attachment 73160View attachment 73161View attachment 73162
kuna uyu shabiki wa yanga aliwai lia kama mtoto yanga ilipofungwa na simba,unaweza muona kwenye youtube
Hii ndo shida ya kwenda uwanjani umekula kitu cha ARUSHA bila kula!!!:becky:
Sijui kwa nini wakenya wanapenda kulia lia ovyo.
cha ajabu wachezaj waliofungwa wako na furaha na wanacheka na timu pinzan,sababu ni mchezo uwez shinda kila siku,lakin vichwa bangi wanalia