babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 4,689
- 2,000
Nime register na hawa Avatrade na ku-deposit pesa kidogo kwa ajili ya ku trade crypto currencies. Lakini
tangu wapokee pesa hawajibu emails zangu, simu zao haziingii, chat room is unavailable na bado account yangu hawaja activate.
Kwa asilimia 90 ninaamini nimeliwa!
Has anyone ever come across this firm?
Kuna mtu yoyote ameshakutana na brokers ambao ni matapeli au wasumbufu ili wengine tuepuke?
Na, Kama unajua brokers wazuri wa crypto currencies zaidi ya eToro na Plus500?
tangu wapokee pesa hawajibu emails zangu, simu zao haziingii, chat room is unavailable na bado account yangu hawaja activate.
Kwa asilimia 90 ninaamini nimeliwa!
Has anyone ever come across this firm?
Kuna mtu yoyote ameshakutana na brokers ambao ni matapeli au wasumbufu ili wengine tuepuke?
Na, Kama unajua brokers wazuri wa crypto currencies zaidi ya eToro na Plus500?