RAJ PATEL JR
JF-Expert Member
- Sep 8, 2010
- 743
- 169
Good night!!
I like your avatar!! It reminds me of Ras Al KhaimaAsante nimeipokea kwa mikono miwili.... naomba nawee umsalimie huyu ulo nae ktk Avatar...
Nionapo avatar za watu fulani humu mhhhh... sijui hata niseme nini!
Avatar ya MJ1 - inanivutia sana
Boss - usiseme! mtajaza wenyewe
BAK - Inafurahisha
King'asti - inanikwaza kimawazo!
MMKJJ - NASIKIA UCHUNGU....NASIKIA HURUMA SANA!
REV Masanilo - huwa nalengwa na machozi kila nikiitazama.... najiskia kumnunulia angalau mitumba abadili nguo!
BALANTANDA - Najiskia rahaaaa
WoS - HAPO NI FULL HAKI NA UKWELI
Firstlady - natamani awe ndo mama wa kwanza wa ukweli
Keren Hapuch - Utadhani anti wangu vileeee
Mbu - unanikumbusha boss wangu kazini
Ashadiii -- iko poa sana..sexy though kindav conservatively dressed
Faizafoxy - inanifanya napata majinamizi full!
nitaendelea...
Yangu ni nzuri sana. Inakumbusha kuwa CCM ni PYRANIA wa Uchumi wa Tanzania. Ndiyo maana kofia imeandikwa TC yaani CCM Tanzania. Hiyo inatokana na kuwa CCM zipo nyingi duniani. ONYO: Ukifika mtoni au bwawa, uliza kwanza wenyeji kama hilo eneo kuna PYRANIA. Vinginevyo, you are eaten alive.
King'asti - inanikwaza kimawazo!BALANTANDA - Najiskia rahaaaa
I like your avatar!! It reminds me of Ras Al Khaima
Good night!!
Yangu ni nzuri sana. Inakumbusha kuwa CCM ni PYRANIA wa Uchumi wa Tanzania. Ndiyo maana kofia imeandikwa TC yaani CCM Tanzania. Hiyo inatokana na kuwa CCM zipo nyingi duniani.
ONYO: Ukifika mtoni au bwawa, uliza kwanza wenyeji kama hilo eneo kuna PYRANIA. Vinginevyo, you are eaten alive.
jamani, polee! kabla sijaibadilisha, hebu niambie sababu za kukukwaza kimawazo?mie avatar ya balantanda inanifanya nimuogope,manake kama mbaba flani mkaliii afu very conservative. nahisi anatembea na bakora na ukienda astray tu unatandikwa hapo hapo!
Yangu ni nzuri sana. Inakumbusha kuwa CCM ni PYRANIA wa Uchumi wa Tanzania. Ndiyo maana kofia imeandikwa TC yaani CCM Tanzania. Hiyo inatokana na kuwa CCM zipo nyingi duniani.
ONYO: Ukifika mtoni au bwawa, uliza kwanza wenyeji kama hilo eneo kuna PYRANIA. Vinginevyo, you are eaten alive.
Yako King'asti inaonyesha tamaa mbaya
Gaijin - mdada huyu jamani !Anapata muda kupumzika kweli ?Pumzika kidogo basi
rejao!!! Mi sioni tatizo lolote na hii avatar, sijui kwanin haipendwi!!
yeah that makes the two of us!hapa sikuelewi kabisaaaa... Yaani hujaiweka avator ya my afrodenz. Sikuelewi kabisa
mimi nikiona yako najiuliza je meno yangu yanang'aa kama yako na ya mwenzako?lol