Avatar zenye kutia tumani na zenye kukatisha tamaa!

Samawati

Member
Oct 6, 2010
90
71
Nionapo avatar za watu fulani humu mhhhh... sijui hata niseme nini!
Avatar ya MJ1 - inanivutia sana
Boss - usiseme! mtajaza wenyewe
BAK - Inafurahisha
King'asti - inanikwaza kimawazo!
MMKJJ - NASIKIA UCHUNGU....NASIKIA HURUMA SANA!
REV Masanilo - huwa nalengwa na machozi kila nikiitazama.... najiskia kumnunulia angalau mitumba abadili nguo!
BALANTANDA - Najiskia rahaaaa
WoS - HAPO NI FULL HAKI NA UKWELI
Firstlady - natamani awe ndo mama wa kwanza wa ukweli
Keren Hapuch - Utadhani anti wangu vileeee
Mbu - unanikumbusha boss wangu kazini
Ashadiii -- iko poa sana..sexy though kindav conservatively dressed
Faizafoxy - inanifanya napata majinamizi full!

nitaendelea...
 
Rajeo - inanitisha sana hadi nasikia kichefuchefu
Gaijin - mdada huyu jamani !Anapata muda kupumzika kweli ?Pumzika kidogo basi
VOR - Husomeki mkaka
Pakajimmy - acha kufoka muda wote utapata BP bureee
Speaker - huo mziki saa zote utakuwa kiziwi siku siyo zako!
 
Nionapo avatar za watu fulani humu mhhhh... sijui hata niseme nini!Avatar ya MJ1 - inanivutia sana Boss - usiseme! mtajaza wenyeweBAK - InafurahishaKing'asti - inanikwaza kimawazo!MMKJJ - NASIKIA UCHUNGU....NASIKIA HURUMA SANA!REV Masanilo - huwa nalengwa na machozi kila nikiitazama.... najiskia kumnunulia angalau mitumba abadili nguo!BALANTANDA - Najiskia rahaaaaWoS - HAPO NI FULL HAKI NA UKWELIFirstlady - natamani awe ndo mama wa kwanza wa ukweliKeren Hapuch - Utadhani anti wangu vileeee Mbu - unanikumbusha boss wangu kaziniAshadiii -- iko poa sana..sexy though kindav conservatively dressedFaizafoxy - inanifanya napata majinamizi full!nitaendelea...
According to your explanation, I can study your how, and where about.
 
Rajeo - inanitisha sana hadi nasikia kichefuchefuGaijin - mdada huyu jamani !Anapata muda kupumzika kweli ?Pumzika kidogo basiVOR - Husomeki mkakaPakajimmy - acha kufoka muda wote utapata BP bureeeSpeaker - huo mziki saa zote utakuwa kiziwi siku siyo zako!
Rejao!!! Mi sioni tatizo lolote na hii Avatar, sijui kwanin haipendwi!!
 
Nionapo avatar za watu fulani humu mhhhh... sijui hata niseme nini!Avatar ya MJ1 - inanivutia sana Boss - usiseme! mtajaza wenyeweBAK - InafurahishaKing'asti - inanikwaza kimawazo!MMKJJ - NASIKIA UCHUNGU....NASIKIA HURUMA SANA!REV Masanilo - huwa nalengwa na machozi kila nikiitazama.... najiskia kumnunulia angalau mitumba abadili nguo!BALANTANDA - Najiskia rahaaaaWoS - HAPO NI FULL HAKI NA UKWELIFirstlady - natamani awe ndo mama wa kwanza wa ukweliKeren Hapuch - Utadhani anti wangu vileeee Mbu - unanikumbusha boss wangu kaziniAshadiii -- iko poa sana..sexy though kindav conservatively dressedFaizafoxy - inanifanya napata majinamizi full!nitaendelea...
hapa sikuelewi kabisaaaa... Yaani hujaiweka avator ya my afrodenz. Sikuelewi kabisa
 
Nionapo avatar za watu fulani humu mhhhh... sijui hata niseme nini!
Avatar ya MJ1 - inanivutia sana
Boss - usiseme! mtajaza wenyewe
BAK - Inafurahisha
King'asti - inanikwaza kimawazo!
MMKJJ - NASIKIA UCHUNGU....NASIKIA HURUMA SANA!
REV Masanilo - huwa nalengwa na machozi kila nikiitazama.... najiskia kumnunulia angalau mitumba abadili nguo!
BALANTANDA - Najiskia rahaaaa
WoS - HAPO NI FULL HAKI NA UKWELI
Firstlady - natamani awe ndo mama wa kwanza wa ukweli
Keren Hapuch - Utadhani anti wangu vileeee
Mbu - unanikumbusha boss wangu kazini
Ashadiii -- iko poa sana..sexy though kindav conservatively dressed
Faizafoxy - inanifanya napata majinamizi full!

nitaendelea...


Samawati frankly speaking sikujua hata unajua of my presence..
nimeshindwa mezea hilo... Dah! i guess hio compliment umenipa ya ukweli
saaana... (almost wish ingekua mimi...lol...)... Thanks..

Pamoja saana.
 
Samawati frankly speaking sikujua hata unajua of my presence..
nimeshindwa mezea hilo... Dah! i guess hio compliment umenipa ya ukweli
saaana... (almost wish ingekua mimi...lol...)... Thanks..

Pamoja saana.

Asha dear.
Iyo compliment ni yako na uipokee dada wa ukweli!
 
Babuu blessed naona unatafuta burn kwa nguvu zote mimi sipo ila hii ndo email yangu nitakuwa nakupa update wakati uko jela!
 
Back
Top Bottom