Avatar za Wana JF na Michango yao zinafanana kabisa

Kwa uchunguzi wangu wa haraka haraka, nimegundua kuwa avatar nyingi za wana JF na mawazo yao zinaendana kabisa, na inavyoonekana kuanzia mtu anachagua avatar yake anakuwa anacommunicate na inner most feelings and personality yake bila yeye mwenyewe kujitambua. kwa mfano bujibuji, katavi, mentor, kamaka, n so many more

Je mfano sisi tunatumia avatar za watoto... mfano mi natumia ya my cute lil uncle , mtooto wa dada yangu baby azizah...

inamaana michango yangu ni ya kitoto...?
 
i'm Good (from looks,personality you name it!) did i mention i'm also a guy,i'm Good Guy! The avatar can anyone tell me who the guy is? If anyone can well you gat ur answers,i'm smart as the guy! By the way umesema uko wap vile tuje na shost tufungue saluni huko.lol

Jinsi ulivyo nijibu kule
kwenye jua mmmhh
Kila ulichosema hapo nakubali
asilimia mia ya mia na
ntaogezea zaidi na zaidi..
mmhh lakini sio hapa .....
 
Khaaa! waswahili kweli wabaya, unajua hapa jamvini walikuwa wanasema unashikiliwa na polisi baada ya kutumia huduma ya gesti halaf hukulipia?, mimi nilikudefend sana fellow tablet lakini jamaa walishika bango, asavali umelejea.

bek to abov quote: penzi langu na sweetlady liko motomoto, tayari so far nishamrushia vocha 4.
Hahahaha! Sio waswahili kloro, ni kweli alikuwa anashikiliwa na polisi... We unadhani alikuwa wapi siku zote???..lol..
 
<font size="3"><span style="font-family: comic sans ms"><br />
<br />
Je mfano sisi tunatumia avatar za watoto... mfano mi natumia ya my cute lil uncle , mtooto wa dada yangu baby azizah...<br />
<br />
inamaana michango yangu ni ya kitoto...?<br />
</span></font>
<br />
<br />
Hapana hauna mchango wa kitoto kwa mimi wewe yaonekana ni mtu unayewapenda watoto.Kwa kifupi unaonekana wewe ni baba mzuri.
 
Hapana hauna mchango wa kitoto kwa mimi wewe yaonekana ni mtu unayewapenda watoto.Kwa kifupi unaonekana wewe ni baba mzuri.
reverse psychology,advantage of the technique the victim never knows what you really mean.i like it!
 
Kwa uchunguzi wangu wa haraka haraka, nimegundua kuwa avatar nyingi za wana JF na mawazo yao zinaendana kabisa, na inavyoonekana kuanzia mtu anachagua avatar yake anakuwa anacommunicate na inner most feelings and personality yake bila yeye mwenyewe kujitambua. kwa mfano bujibuji, katavi, mentor, kamaka, n so many more
Mkuu nakupa tano,ukweli unaonekana,toka utoe usemi wako naona kila siku watu wanafanana na avator zao.
Jf inabididi wakupe u Dr.Kwa utafiti wako .Big up
 
Kwa uchunguzi wangu wa haraka haraka, nimegundua kuwa avatar nyingi za wana JF na mawazo yao zinaendana kabisa, na inavyoonekana kuanzia mtu anachagua avatar yake anakuwa anacommunicate na inner most feelings and personality yake bila yeye mwenyewe kujitambua. kwa mfano bujibuji, katavi, mentor, kamaka, n so many more


Gugwe hicho kiavatar chako nacho ....? anza nacho banaa ... na hizo herufi ... zieleze zinafanyanini hapo ...!!
 
Kwa uchunguzi wangu wa haraka haraka, nimegundua kuwa avatar nyingi za wana JF na mawazo yao zinaendana kabisa, na inavyoonekana kuanzia mtu anachagua avatar yake anakuwa anacommunicate na inner most feelings and personality yake bila yeye mwenyewe kujitambua. kwa mfano bujibuji, katavi, mentor, kamaka, n so many more
Na wewe unajtuujulisha kuwa kama ilivyo Avatar yako na kitabia upo hivyo hivyo?
 
Ukiulizwa leo kwanini uliweka hiyo avatar yako?

Habari wana jf wenzangu
Kumekua na avatar tofauti humu au kwa jina jengine ni profile picture

Nyingine nikiziangalia mm nacheka tu nyingine zinaogopesha na nyingine huuzunisha

Kuna nyingine kama picha hata ukiona mitandaoni humo hata nje ya jf unamkumbuka mhusika wa humu

Nyingine huwa zinajenga sura ya mtu kwamba zinakuaminisha kisaikolojia kwamba ndiye huyu mtu kiasi kwamba hata mtu akiitoa hiyo avatar watu wanamuomba airudishe maana washaijengea picha kwamba ndio yeye
Kwa mfano FaizaFoxy au @nyaningabu Mzee Mwanakijiji Daudi Mchambuzi nilishajijengea akilini kwamba ile avatar ishafanana naye hata nikimuona live barabarani nitakataa kwamba sio yeye bali yeye alipaswa afanane na ile avatar (ndo hivyo avatar zinatujenga kisaikolojia na kiakili tukivuta picha ya mtu wa humu yaani watamani afanane na avatar husika)

Lakini najuwa kabisa wengi humu wameweka avatar wakijua kiundani sababu ya kumuweka huyo mtu(kama ni mtu) na ni kwanini alimuweka

Ukiulizwa avatar yako kwanini uliiweka utasema ninini?
 
Back
Top Bottom