Bahimba
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 510
- 346
Wakuu mko poa?
Kama mko poa, sisi hapa kwetu Shinyanga hatuko poa kivile! weekend tuliaanza vyema lakini tumeimaliza vibaya kwa tukio la ujambazi lilitokea jana jioni mida ya saa 2 kasoro hivi mitaa ya Ndala Darajani tukio lililoambatana na mauji ya mtu mmoja ambaye alikuwa akitoa huduma ya m.pesa walipo mwamuru awape hela na ndipo yalipotokea majibizano baina yake na majambazi na ndipo yalipomfyatulia risasi na kufa hapohapo.
Polisi walifika eneo la tukio saa moja baadae na kukuta majambazi wameshatokomea na pesa ambazo bado haijajulikana hesabu yake.
Kama mko poa, sisi hapa kwetu Shinyanga hatuko poa kivile! weekend tuliaanza vyema lakini tumeimaliza vibaya kwa tukio la ujambazi lilitokea jana jioni mida ya saa 2 kasoro hivi mitaa ya Ndala Darajani tukio lililoambatana na mauji ya mtu mmoja ambaye alikuwa akitoa huduma ya m.pesa walipo mwamuru awape hela na ndipo yalipotokea majibizano baina yake na majambazi na ndipo yalipomfyatulia risasi na kufa hapohapo.
Polisi walifika eneo la tukio saa moja baadae na kukuta majambazi wameshatokomea na pesa ambazo bado haijajulikana hesabu yake.