Automotive Interior

Sele Mkonje

JF-Expert Member
Oct 2, 2011
643
844
Habari zenu wadau.Mimi ni mtaala wa mambo ya Automotive interior. Nainstal soft tops,rooflining recovering,car carpets,Door panels, plastic repair,seat redying(vinyl and leather seats) and more. Nahitaji ushauri wenu kwasababu ninampango wa kuja kufungua kampuni yangu huko Tanzania, naomba mniambie ni sehemu gani naweza nikaweka kampuni hii na vipi kuhusu uhitaji wake. Mimi Kwa sasa ninaishi Cape town na ninafanya kazi katika kampuni moja kubwa sana Ya interior designing and engineering. Pia nishawah kufanya kazi katika kiwanda cha kutengeneza magari cha Mercedes Benz.

UPDATES:
Jamani nimefika tz salama kabisa na ningependa kuwafahamisha kuwa nipo Tz na Kama una kazi inayohusu interior ya Gari yako basi tuma Message kwenye namba hii 0783433287. Nielezee tatizo la gari yako,aina ya gari na Location yako.
1255941609-2036359290.jpg
-922309542465778623.jpg
 
Kibongo bongo,iyo kitu inalipa sana,hasa ukija mwanza ama dar,nakuhakikishia ndani ya mwaka utakua mbali sana,bongo tunapenda vitu vizur bt upatikanaji wake mgunu
 
Haya sasa changamkia Fursa. Wateja 10 wa mwanzo nitawapa punguzo kubwa sana na kama utamleta mteja utapata 5000 ya vocha.
 
bro hyo ktu inalipa sana, trust me! but cha muhimu uwe muaminifu, ukiwa muaminifu utafanya hyo biashara hadi utashangaa watu wanasema uchumu umebana ni kweli but kwenye magari huwa hawaangalii uchumi yaaan masista duu na mabrotherman wapo tayari akale mihogo mchana ila gari yake ipendeze.
- Nakushauri ofisi fungua kinondoni au sinza
-hadi sasa kuna jamaa wakuitwa SAFARI UPHOLSTERY ndio wanaojulikana kwa kufanya vizuri kwenye kazi hzo, kuwazidi hawa we njoo na bei ya chini.
- Narudia hii kazi inahitaj uaminifu sana, sio mtu kaja na gari yake kakuachia umtengenezee unaingia tamaa ya kumbadilishia na kumuibia baadhi ya vifaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bro hyo ktu inalipa sana, trust me! but cha muhimu uwe muaminifu, ukiwa muaminifu utafanya hyo biashara hadi utashangaa watu wanasema uchumu umebana ni kweli but kwenye magari huwa hawaangalii uchumi yaaan masista duu na mabrotherman wapo tayari akale mihogo mchana ila gari yake ipendeze.
- Nakushauri ofisi fungua kinondoni au sinza
-hadi sasa kuna jamaa wakuitwa SAFARI UPHOLSTERY ndio wanaojulikana kwa kufanya vizuri kwenye kazi hzo, kuwazidi hawa we njoo na bei ya chini.
- Narudia hii kazi inahitaj uaminifu sana, sio mtu kaja na gari yake kakuachia umtengenezee unaingia tamaa ya kumbadilishia na kumuibia baadhi ya vifaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana kwa ushauri. Ni kweli uaminifu ndio msingi wa mafanikio. Bei zangu ni za kawaida sana mtu yeyote anaweza kuzimudu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom