ni hivi , hii rush kwenye calculator ya tra ushuru wake ni mkubwa kiasi, also ni moja ya suv yenye cc ndogo zaidi, pia nyingi zzilianza kutoka mwaka 2006, hivo hata cif yake ipo juu kiasi, yes iko luxury pia, japo sio sana, , compare na alphard , hiokwanza ni old model....................Kwanza kabisa hongera sana, kiukweli unaijua biashara vizuri..na una customer service nzuri.kwa hio character utafika mbali sana..Mungu akubariki..
Nimefuatilia huu uzi muda mrefu sana (ingawaje nimechelewa maana ni wa toka mwaka jana)..ila naomba msaada wa majibu Renyo Msuya..
1)inakuwaje gari kama Toyota Rush (avg 19 mil tsh) likawa na bei ya juu kuliko gari kama hili Alphard(15.7 mil tsh)... ingawaje rush ina cc ndogo ,kwa umbo pia ni dogo, seating capacity nayo ndogo (ukiacha mbali swala la mileage)..ni kwamba Rush ni bora zaidi(uthabiti) .? Au more luxurious? Naomba ufafanuzi mkuu..
Autocom Japan wametapeli wateja sio watu wazuri kitu mlichonifanyia hakika Bora ifungweee kampuni kwa uwizi wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Autocom Japan wametapeli wateja sio watu wazuri kitu mlichonifanyia hakika Bora ifungweee kampuni kwa uwizi wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tenaaaa huyooooo msuya ndio mhusika mkuuMsuya Jr. Jibu hizi tuhuma.
Hawezi kujibu maaana ni mhusika mkuu mwizi na tapeli jifiche tu msuya Tanzania ni dogo sanaaaa ila iko cku utafurahi tuMsuya Jr. Jibu hizi tuhuma.
Lietace Noah napata kwa sh ngapi hadi mkononi?View attachment 527664 Hello members ,
Jina langu Renyo Msuya,
Nafanya kazi katika kampuni ya kuuza magari kutoka japan kuja Tanzania.
Niulize swali lolote kuhusu magari na bei zake , pia tuna import magari kwa bei nafuu kabisa.
Autocom Japan Inc, Tanzania Branch.
Office location: Quality Center/Mtava -Along Nyerere Rd.
Contact/Whatsapp: +255 767 328 063
Email: msuya@autocj.co.jp
AUTOCOM TANZANIA BRANCH
Nitakuwa najibu maswali na updates za magari .
Hawezi kujibu maaana ni mhusika mkuu mwizi na tapeli jifiche tu msuya Tanzania ni dogo sanaaaa ila iko cku utafurahi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa kweli wana walakini! Mimi nipo group moja la whatsapp ambalo wanatangaza kazi zao,
Yes utapeli umefanyika ofisi kwao tena msuya akiwa ndio mhusika mkuu alisema anafanyia kazi autocom kumbe alifukuzwa muda mrefu Sanaa akaniunganisha kwa meneja wa autocom nikafika ofisini tukachangua gari ss kilichotokea kumbe meneja ameweka hela kwny account yake hrf anasema amelipia tayari gari kumbe sio baada ya kuona cku zimefik za kupokea documents tunapiga cm hawapokei Wala huyo msuya nikaenda ofisini kumbe ofisi wamehamisha cm zao hazipatikani na sio wamedhurumu mteja 1 ni zaidi ya wateja 12 wote hao msuya akiwapelek kwa meneja na akichujua wanachokifanya.meneja alitoka ila alikamatwa Yuko polisi ila na msuya nae alikamatwa kwa utapeli akarudisha hela ya mteja ambae alikuwa amechukua hela.Mkuu fafanua kakutapeli nini na kakutapeli vipi? najua ofisi zao zipo pale Qualit centre, je mlifanya kazi kupitia ofisi au mlifanya dili na yeye binafsi? je ulienda pale ofisini kwao ndio ukatapeliwa pale pale?