Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,915
- 7,463
Bado kuna watu wana ujasiri wa kusaliti malialisi za Taifa na uzalendo uliotapakaa kila idara ya chama, jeshi na mahakama
-------------------
Mamlaka za Austria zimemzuia mtu mmoja katika uwanja wa ndege wa Vienna aliyekuwa akisafirisha vinyonga 74 wanaoaminika aliwachukua kutoka Milima ya Usamabra nchini.Tanzania.
Mwanamume huyo wa miaka 56 alikuwa amewaficha wanyama hao kwenye soksi na masanduku ya ice-cream wakati alipokamatwa kwenye udhibiti wa forodha huko Vienna. Alikuwa amewasili Austria kutokea nchini Tanzania kupitia Ethiopia.
Hata hivyo vinyonga hao walipelekwa katika zoo ya Schoenbrunn lakini walikufa. Wanyama hao kutoka Milima ya Usambara nchini Tanzania walikuwa wenye umri wa kuanzia wiki 1 na wengine walikuwa ni wenye umri mkubwa.
Kwa mujibu wa maafisa wanyama hao wangekuwa na thamani ya euro 37,000 ($ 44,9700) katika soko la magendo
==========
Chameleons crawling out of a bundled up black sock - BMF/Zoll
Austrian authorities stopped a man at Vienna airport as he tried to smuggle 74 protected chameleons from Africa into the country.
They said in a statement Friday that a 56-year-old man, who was not further identified, had hidden the animals in socks and empty ice-cream boxes when he was caught at customs control in Vienna. He had traveled to Austria from Tanzania via Ethiopia.
The chameleons were taken to the Austrian capital's Schoenbrunn Zoo, which said that three of the animals did not survive. All the animals were from the Usambara Mountains in Tanzania and ranged in age from one week old to adult animals.
On the black market they would sell for for about 37,000 euros (£32,860), officials said.
The man who smuggled the animals into Austria has to pay a fine of up to 6,000 euros, the Austrian finance ministry said in a statement.
Source: Yahoo News
-------------------
Mamlaka za Austria zimemzuia mtu mmoja katika uwanja wa ndege wa Vienna aliyekuwa akisafirisha vinyonga 74 wanaoaminika aliwachukua kutoka Milima ya Usamabra nchini.Tanzania.
Mwanamume huyo wa miaka 56 alikuwa amewaficha wanyama hao kwenye soksi na masanduku ya ice-cream wakati alipokamatwa kwenye udhibiti wa forodha huko Vienna. Alikuwa amewasili Austria kutokea nchini Tanzania kupitia Ethiopia.
Hata hivyo vinyonga hao walipelekwa katika zoo ya Schoenbrunn lakini walikufa. Wanyama hao kutoka Milima ya Usambara nchini Tanzania walikuwa wenye umri wa kuanzia wiki 1 na wengine walikuwa ni wenye umri mkubwa.
Kwa mujibu wa maafisa wanyama hao wangekuwa na thamani ya euro 37,000 ($ 44,9700) katika soko la magendo
==========
Chameleons crawling out of a bundled up black sock - BMF/Zoll
Austrian authorities stopped a man at Vienna airport as he tried to smuggle 74 protected chameleons from Africa into the country.
They said in a statement Friday that a 56-year-old man, who was not further identified, had hidden the animals in socks and empty ice-cream boxes when he was caught at customs control in Vienna. He had traveled to Austria from Tanzania via Ethiopia.
The chameleons were taken to the Austrian capital's Schoenbrunn Zoo, which said that three of the animals did not survive. All the animals were from the Usambara Mountains in Tanzania and ranged in age from one week old to adult animals.
On the black market they would sell for for about 37,000 euros (£32,860), officials said.
The man who smuggled the animals into Austria has to pay a fine of up to 6,000 euros, the Austrian finance ministry said in a statement.
Source: Yahoo News