#COVID19 Australia kufungua Mipaka yake baada ya takriban miaka miwili

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Taifa hilo limesema litafungua Mipaka yake kwa Wasafiri waliopata chanjo dhidi ya COVID19 kwa mara ya kwanza ndani ya takriban miaka miwili. Waziri Mkuu amesema Mipaka itafunguliwa Februari 21.

Australia ilikuwa miongoni mwa Nchi zilizoweka kanuni kali zaidi duniani kufuatia Milipuko wa Virusi vya Corona. Machi 2020, Serikali ilifunga Mipaka na kuzuia Wageni wengi kutoka Nchi za Nje kuingia.

Tangu mwanzoni mwa janga la Corona, Nchi hiyo imetekeleza Kanuni kali kudhibiti maambukizi ikiwemo kupiga marufuku Raia wake kutoka Nchini humo.
====

Australia has announced the reopening of its borders to vaccinated tourists and other visa holders for the first time in almost two years

"If you're double vaccinated, we look forward to welcoming you back," Prime Minister Scott Morrison said

The reopening, on 21 February, will be welcome news for many sectors including international education

Australia has had some of the world's strictest border controls throughout the coronavirus pandemic

In March 2020, the government closed the borders. It barred most foreigners from entering the country and put caps on total arrivals to help combat Covid

Some international students and skilled migrants have been permitted to enter the country since last December

On Monday, Mr Morrison said those entering Australia when the borders fully reopened would need to provide proof of vaccination. "That's the rule. Everyone is expected to abide by it," he said

Unvaccinated travellers who have a medical reason for not being jabbed will still need to apply for a travel exemption and, if successful, will be required to quarantine at a hotel

Since the start of the pandemic, Australia has implemented strict measures to help fight the spread of Covid infections - even banning its own people from leaving the country last year

The country has so far reported more than 2.7 million cases of coronavirus and 4,248 Covid-related deaths, according to Johns Hopkins University data. Nearly 80% of the population is fully vaccinated

Source: BBC
 
Back
Top Bottom