Wana JF,
Wakati serikali za wenzetu wa Magharibi zikichukua hatua ngumu za ki-state ili kurekebisha mgogoro uliopo na utakaokuja wa hali mbaya ya kiuchumi, sisi ni kama hatutumii mwanya huu kujifunza kutoka kwao. Serikali za Uyunani, Uspanyola, Uingereza, Ufaransa na kwingineko wameanza kupunguza matumizi ya government coffers ikiwa ni pamoja na kupunguza ukubwa wa serikali yenyewe na hata serikali zingine zikienda mbali kutaka kufanya marekebisho ya kupunguza utegemezi toka serikali kuu na kupelekea sehemu kubwa ifanyike na serikali za mitaa pamoja na 'watu kujitolea'. Makala hii hapa chini toka The Economist inanipa kujiuliza, je serikali yetu huwa inafikiria mbali namna ya kuchukua hatua ngumu za ki-state ili kurekebisha pamoja na kuboresha hali za watu wake za hapo baadae au ndio ile kupeana asante za uchaguzi, nk? Unless kama serikali inaweza kuwa na jitihada za makusudi kabisa ku-cast their nets wider kukusanya kodi pamoja na kuboresha sera zenye lengo la kuongeza shughuli za uzalishaji _kwa walio wengi_, hapa tulipo na tunakokwenda ni kama kutembea kwenye ukungu!
Soma mwenyewe kisha tafakari!
Reforming the state
Radical Britain
Britain has embarked on a great gamble. Sooner or later, many other rich-world countries will have to take it too
Reforming the state: Radical Britain | The Economist
Wakati serikali za wenzetu wa Magharibi zikichukua hatua ngumu za ki-state ili kurekebisha mgogoro uliopo na utakaokuja wa hali mbaya ya kiuchumi, sisi ni kama hatutumii mwanya huu kujifunza kutoka kwao. Serikali za Uyunani, Uspanyola, Uingereza, Ufaransa na kwingineko wameanza kupunguza matumizi ya government coffers ikiwa ni pamoja na kupunguza ukubwa wa serikali yenyewe na hata serikali zingine zikienda mbali kutaka kufanya marekebisho ya kupunguza utegemezi toka serikali kuu na kupelekea sehemu kubwa ifanyike na serikali za mitaa pamoja na 'watu kujitolea'. Makala hii hapa chini toka The Economist inanipa kujiuliza, je serikali yetu huwa inafikiria mbali namna ya kuchukua hatua ngumu za ki-state ili kurekebisha pamoja na kuboresha hali za watu wake za hapo baadae au ndio ile kupeana asante za uchaguzi, nk? Unless kama serikali inaweza kuwa na jitihada za makusudi kabisa ku-cast their nets wider kukusanya kodi pamoja na kuboresha sera zenye lengo la kuongeza shughuli za uzalishaji _kwa walio wengi_, hapa tulipo na tunakokwenda ni kama kutembea kwenye ukungu!
Soma mwenyewe kisha tafakari!
Reforming the state
Radical Britain
Britain has embarked on a great gamble. Sooner or later, many other rich-world countries will have to take it too
Reforming the state: Radical Britain | The Economist