gentlemanx
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 2,375
- 7,211
Watu wengi wanazipotezea bongo movie kwasababu sio wabunifu wanatengeneza kazi mbovu yaani jambazi anavua viatu kuingia kufanya tukio!
Hakuna anayejifanya Bali tunaongea ukweli..soko la movie bongo limeanza juzi tu kama sikosei. 2003 au 2004 na movie ya girlfriend..JF bana, kila mtu anajifanya anacheki movie za mbele tu, Auntie Ezekiel asijali, sisi wazalendo tutaangalia sana, tena ngoja niongeze ratiba ya kuangalia.
aliyetekwa mwenewe anachekelea
Hakuna anayejifanya Bali tunaongea ukweli..soko la movie bongo limeanza juzi tu kama sikosei. 2003 au 2004 na movie ya girlfriend..
Sasa hao ndio tunawaita wanafki.. Yaani kitu hukifahamu na unakizungumzia...Sawa nimekusoma, ila hujanibadili msimamo, hivi unajua kuna watu wanaponda tu huku hata hizo movie za nje hawaangalii?
Yaani ili mradi na wao waonekane wameponda.
Hawa watu ni maarufu kwa maisha yao nje ya sanaa.... Ila ukifwatilia upande wa sanaa utajiuliza why wanamwita super starBongo movie wanataka mapenzi na kugombaniana mabwana na wanawake..hiyo ndiyo furaha yao kuhusu soko si lazima. Acha watu wafanye kile kitu kinachowapa raha na furaha Tele......wabaki na movie zao, mbona mziki unashabikiwa sana japo hakuna cha muhimu waimbacho wasanii wetu
Hahahahah daaahnani aangalie muvi eti jini anakodisha bajaj kumfukuza mtu
Eti jambazi pekupeku! Hii ya mwaka.. Utafikiri hadithi ya bulicheka na Yule mwenzake Sijui Nani vile! NimemsahauWatu wengi wanazipotezea bongo movie kwasababu sio wabunifu wanatengeneza kazi mbovu yaani jambazi anavua viatu kuingia kufanya tukio!
Sasa hao ndio tunawaita wanafki.. Yaani kitu hukifahamu na unakizungumzia...
Ila huwa najiuliza mbona waliweza kututeka na maigizo yao ya kipindi kile.. Miaka ya tisini mwishoni..
Na kuna igizo moja waliigizia bagamoyo.. Uigizaji na uongizaji ulikuwa mzuri sana ingawa sikulifwatilia igizo lenyewe ila nilipenda lilivyopangiliwa.. Ila nilikuja fwatilia baadae nikagundua halikuongozwa na wabongo bali wageni...
Nimelisahau jina kidogo ila jamaa alikuwa kiwembe balaa ana afro... Hata sauti ilikuwa poa sana