mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,855
- 8,251
Si atauza sura tu jamani kwani yeye ni mcheza filamu kwangu mimi huyo hachezi filamu ili anauza sura kupitia filamu na kwa kuwa maarufu kwa kuuza sura basi haina neno sio lazima auze sura kwenye filamujamani mi namhurumia sana aunty ezekiel alipopigwa marufuku kushiriki movie za kibongo na wenye mamlaka hiyo...jamani sasa huko ndio mtu anakotegemea kula na kuishi,,sasa wanadhani ataishi vipi na hayo maisha atayaendesha vipi,,akiwa malaya tena wataanza kumlaumu,,mi naona siyo haki bana wamuache aendelee maana hata hao waliomsimamisha wenyewe ndiyo wachafu kuliko sema kwa vile tu sio maarufu wangekuwa wa kwanza kusimamishwa,,maana tuna skendo zao kibao ila tumezitunza tu