🤣🤣🤣watu WA zamani hahaha sasa uchi uko wap apo duu kwel Dunia inaenda kasi sanawatu wa zamani inaonekana walikuwa hawafaidi kabisa... hii ndo ilikuwa picha ya nusu utupu enzi hizo! hahahaaah!
kweli maisha yanaenda kasi sana
😂🤣😜Pdidy inaonesha alikuwa Mkolomije enzi hizo
Picha Nzuri kabisaa.
mkuu umefukulia wap ili kaburi 😂🤣😂watu wa zamani inaonekana walikuwa hawafaidi kabisa... hii ndo ilikuwa picha ya nusu utupu enzi hizo! hahahaaah!
kweli maisha yanaenda kasi sana
Haka kabinti labda kaolewe na changu mwenzake else kanawamaliza tu waigizaji wenzake maskini
Uzi wa watu wa zamani.