Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Yule muigizaji wa kimataifa wa nchini Tanzania ambae majuzi akiongozana na baadhi ya waigizaji wa Dar ametia kinyaa uwanja wa kigali na kufikia kila mtu kuanza kutukana Kinyarwanda
Haikuwa rahisi kusikia mnyarwanda akisema aiseee! watanzania ni maraya sana aisee embu kumwona kale kabint kweri kamepanda ndege hata siamini kamewezaje kupita uko.
Huku wengine wakisema wanawake wa Kitanzania hawana aibu wara hawajiheshimu wengi waliishia kumfwata na kuangalia mapaja yake huku wakati akikaa sehemu za nguo za ndani kutuna kama if kuna mdudu anataka kutoka.
Kwa wale watanzania mkienda kwa watu embu jiheshimuni jamani, hapa mnaona wanwake wote ndio wanatukanwa sio huyuhuyu tu mnaonekana wote baraya ba kibongo
Haikuwa rahisi kusikia mnyarwanda akisema aiseee! watanzania ni maraya sana aisee embu kumwona kale kabint kweri kamepanda ndege hata siamini kamewezaje kupita uko.
Huku wengine wakisema wanawake wa Kitanzania hawana aibu wara hawajiheshimu wengi waliishia kumfwata na kuangalia mapaja yake huku wakati akikaa sehemu za nguo za ndani kutuna kama if kuna mdudu anataka kutoka.
Kwa wale watanzania mkienda kwa watu embu jiheshimuni jamani, hapa mnaona wanwake wote ndio wanatukanwa sio huyuhuyu tu mnaonekana wote baraya ba kibongo