Aunt Ezekiel afunguka kuhusu nyumba ya kupanga

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,409
20,758
18809011_429242030767775_2002670699537235968_n-e1497887377104.jpg


Baada ya kuandamwa mitandaoni kuwa tangu amekuwa staa bado anaishi nyumba za kupanga maeneo ya Kijitonyama jijini Dar, staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel amefungukia madai hayo kuwa wengi wanaongea bila kujua undani wa maisha yake.

Akizungumza na Star Mix, Aunt alisema ameamua kuishi maisha ya kupanga kwa sababu ya ukaribu na kazi zake na kama ni nyumba yake ipo maeneo ya Kigamboni.

“Nawashangaa sana wanaosema hivyo. Nimepanga katikati ya mji ili nifanye kazi zangu kwa wepesi na kama ni nyumba mbona ninayo Kigamboni?” Alihoji Aunt ambaye ni mzazi mwenza na Moze Iyobo.


Muungwana
 
wenye nazo wengi wanahusudu kupanga kuliko kuishi kwenye mijengo yao.....wahindi ni mfano mdogo tu
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom