Augustino Lyatonga MREMA, Namvulia Kofia

Hakuna mtu wa opposition ambaye ameweza kuvunja record ya Lyatonga Mrema. You are right. But ame-retreat sana.... if you cant fight them join them.
 
index.jpeg
huyu hapa mtikila,msikilize mwenyewe...nadhani nadhani sio kofia tu..hata shati utavua kuandamana!!

Mtikila Interview
 
Kweli Mrema ni balaa, nakumbukaga tu uchaguzi wa 1995 jinsi ulivyokuwa na hamasa..duh Mrema alikuwa ni kiboko sio mchezo jamaa alikuwa anaogopeka sio mchezo, nakumbukaalikuwa akitoa tamko fulani ni lazima litekelezew nadani ya huo mda..
aahh Mrema jamani sio siri ni mwasisi wa democrasia ,bila kumsahau Mtikila na Baba wa Taifa pia.
 
Haukuielewa post ya Jenifa, aanasema Mrema alipambana na Nyerere, Dr. wenu Slaa alipambana na Mkwere! anafanya comparison. Ukirudia post yangu ya nyuma, ukiangalia mafanikio ya Mrema 1995 na slaa 2010 unaona ya Mrema yalikuwa na nguvu sana kulinga na wakati ule, nguvu ya CCM ikiwa na Nyerere, ugeni wa vyama vya upinzani, teknolojia ya mawasiliano!!!! sidhani kama hili linahitaji PhD kufanya analysis!

Waberoya!

Ukitaka nikubali comparison isiyo na mashiko ni sawa na kutaka nisitumie kichwa kufikiri.
Kila zama na challenges zake, kama mnadhani presence ya Nyerere iliwapa CCM an upper hand kwa nini leo hii msione excessive financial muscle ya CCM inaipa an even better chance. Tumwongelee Mrema na performance yake and not making lame analysis na huhitaji kuwa na PhD kutambua hili pia.

Na hata mkiamua analysis hiyo: Ni vigumu kuishinda CCM leo kuliko ilivyokuwa 1995, hapa ilikuwa tuipige knock-out by surprise. People were yearning for change pamoja na ITV kutumika kurusha mauaji ya Rwanda.

Bado tukubali kwamba Mrema alifanya makubwa kwa nchi yetu alipokuwa Home affairs/Deputy PM. Na kwa hayo tunapaswa kumuenzi and if possible apate marupurupu ya naibu WM ingawa ni cheo kisichokuwa kwenye katiba.

Ukija kwenye upinzani jamani tuwape heshima wanaostahili lakini sio Mrema.
Mrema kaja NCCR baada ya Kufukuzwa uwaziri sio kwamba alitoka CCM kwa kupenda mbona mnataka kupotosha historia??
NCCR were looking for a presidential material and they thought Mrema would make one. Wengi wetu tulim-support just by his records akiwa waziri.

Kinyume chake Mrema kaua upinzani hasa huku bara. Huyu si mwanasiasa kwani angekuwa ni dhahiri TLP isinge-nose dive.
Miaka 20 baada ya siasa za vyama vingi hatujaweza hata kuwakaribia jirani zetu wa Kenya.
 
JF inapokuwa na wachangiaji wa jinsi hii inanifanya nihisi tuko kwenye kilabu ya mataptapu.
Hivi kumbe mrema alimshinda JK 2005???

http://en.wikipedia.org/wiki/Jakaya_Mrisho_Kikwete
Jakaya Mrisho Kikwete Chama Cha Mapinduzi 9,123,952 80.28%
Ibrahim Lipumba Civic United Front 1,327,125 11.68%
Freeman Mbowe Chama cha Demokrasia na Maendeleo 668,756 5.88%
Augustine Mrema Tanzania Labour Party 84,901 0.75%
Sengondo Mvungi National Convention for Construction and Reform-Mageuzi 55,819 0.49%
Christopher Mtikila Democratic Party 31,083 0.27%
Emmanuel Makaidi National League for Democracy 21,574 0.19%
Anna Senkoro Progressive Party of Tanzania-Maendeleo 18,783 0.17%
Leonard Shayo Demokrasia Makini 17,070 0.15%
Paul Henry Kyara Sauti ya Umma 16,414 0.14%
Total Votes 11,365,477 100.00% Voter Turnout 72.4%
wachangiaji wasiojua kusoma tatizo kabisa.

eti mrema alimshinda jk nani kakuambia hivyo. mrema alipambana na mkapa na nguvu ya nyerere. daktari wa wakatoliki kapambana na mkwere aliyeziriwa chama chao.

namba kama hazifanani angalia asilimia. mrema 27.7 daktari wa wakatoliki 27.1

mrema juu juu sasa subiri kazi serikali za mitaa.
 
WABEROYA.......MREMA &MTIKILA kwangu ndo bado nawaona ni nuru na mwanga wa ukweli wa ukombozi wa taifa hili....michango yao katika taifa hili imeonekana
SIO WALE WANAOSIFIWA NA MEDIA HALI HAWANA MCHANGO WOWOTE WA KIMANTIKI KWA TAIFA
....SIMU YANGU NIMEWEKA RINGTONE YA MH.LYATONGA MREMA (mb)


Sio wale kina nani hao.? mbona mrema na mtikila umewataja. Wataje basi au na wewe umo humo humo kwenye wale ndo maana unaogopa kujitaja?
 
Waberoya!

Ukija kwenye upinzani jamani tuwape heshima wanaostahili lakini sio Mrema.
Mrema kaja NCCR baada ya Kufukuzwa uwaziri sio kwamba alitoka CCM kwa kupenda mbona mnataka kupotosha historia??
NCCR were looking for a presidential material and they thought Mrema would make one. Wengi wetu tulim-support just by his records akiwa waziri.

.
mrema alifukuzwa uwaziri? baba liongo wewe sijawahi kuona. hujui hata historia ya nchi yako.

mrema aliwatupia uwaziri ubunge na uanachama wao akaondoka
 
wenye mtazamo huu ndio ambao hawawalipi wazee wa east african
hawawaenzi wanamichezo
hawakumbuki founders.....we have problem realy

atatokea mtu na kusema mwaka 2010 alitokea padri mmoja kugombea urais na akashindwa vibaya, at that time tutakuwa na wanasiasa wengine! kumbe uwepo wa hao wanasiasa unategemea sana na uwepo wa sasa wa akina Slaa, kama ambavyo ulivyosaidiwa na uwepo wa akina Mrema miaka hiyo

Niliwauliza swali watu fulani...je wangapi wako tayari leo hii kumlisha na kumtunza W.Slaa? kwa mahitaji yake yote? kama wafuasi wake hawako tayari siku akikaribia kufa kwa njaa aogope kurudi CCM? no way!!

tunarudisha nyuma upinzani kwa matendo yetu

hili nalo ni neno mkuu! unajua watz wengine hawajiamini na wafuata upepo hasa upepo unaotoka kwa mafisadi pamoja na CCM.
 
Unaweza ukawa uko sahihi kwa mtazamo wako, miaka ya 1994-1993 ungesema haya hakuna ambaye angekuelewa! sawa na leo ukinena vibaya kuhusu Slaa hakuna atakaye kuelewa, miaka 10 ijayo Slaa atakuwa na kusomeka kama unavyomuona Mrema leo!

kindly learn to appreciate foundation for the standing and magnificent structure!
Hivi mrema ameshawahi rudisha kadi ya CCM?WAPI NA LINI?
Kwanini anataka awe MWENYEKITI kila anakohamia?
Hii sio dalili za double agent kweli?
 
Mbona huyo ni double agent?

Jamani double agent wa nini? KAma anatupigania watanzania, sasa ana matatizo gani, watu wenye kuchanjiana damu na vyama, au watu binafsi huwa ni tatizo katika kuona mambo mazuri au mabaya. Ndio sababu Mie kwa sasa ni free agent, naangalia sera na utekelezaji wake tu, sijali chama gani, historia gani, wala kabila wala dini gani.
Hata mtu katika CCM, TLP, CDM, NCCR akiboronga natumaini nitaweza kuona na kuamua, au akifanya vizuri, nitaweza kuona na kuweza kumwambia.
Mrema kweli ni mchapa kazi, anapenda kazi tunazompa za kisiasa, alikuwa wa kwanza kulipua mabomu, tukamuona mnafiki, alikuwa wa kwanza kukamata madawa ya kulevya shehena kubwa, n Mtanzania mpiganaji,
Mara baada ya uchagizi alianza kazi MARA MOJA bila ya vyombo vya habari.
Amepitia mateso na test zote za kutupigania watanzania, inabidi kuwe na tuzo fulani hivi ya kutambua mchango wake kwa Taifa letu.
 
Waberoya!

Ukitaka nikubali comparison isiyo na mashiko ni sawa na kutaka nisitumie kichwa kufikiri.
Kila zama na challenges zake, kama mnadhani presence ya Nyerere iliwapa CCM an upper hand kwa nini leo hii msione excessive financial muscle ya CCM inaipa an even better chance. Tumwongelee Mrema na performance yake and not making lame analysis na huhitaji kuwa na PhD kutambua hili pia.

Na hata mkiamua analysis hiyo: Ni vigumu kuishinda CCM leo kuliko ilivyokuwa 1995, hapa ilikuwa tuipige knock-out by surprise. People were yearning for change pamoja na ITV kutumika kurusha mauaji ya Rwanda.

Bado tukubali kwamba Mrema alifanya makubwa kwa nchi yetu alipokuwa Home affairs/Deputy PM. Na kwa hayo tunapaswa kumuenzi and if possible apate marupurupu ya naibu WM ingawa ni cheo kisichokuwa kwenye katiba.

Ukija kwenye upinzani jamani tuwape heshima wanaostahili lakini sio Mrema.
Mrema kaja NCCR baada ya Kufukuzwa uwaziri sio kwamba alitoka CCM kwa kupenda mbona mnataka kupotosha historia??
NCCR were looking for a presidential material and they thought Mrema would make one. Wengi wetu tulim-support just by his records akiwa waziri.

Kinyume chake Mrema kaua upinzani hasa huku bara. Huyu si mwanasiasa kwani angekuwa ni dhahiri TLP isinge-nose dive.
Miaka 20 baada ya siasa za vyama vingi hatujaweza hata kuwakaribia jirani zetu wa Kenya.

RealMan,

Hivi kufukuzwa uwaziri kwani ndiyo maana atoke chamani? Wangapi wamefanyiwa hayo hayo lakini wakazidi kunyenyekea mpaka wakachaguliwa tena kushika nyadhifa kubwa tuu?
Kwanza tufahamu kuwa wakati wake hakuna kada aliyekuwa na ujasiri wa kuasi chama cha CCM na kwenda kukipinga hadharani. Ukweli kwamba wakati mwingine haeleweki halipingiki kabisa, lakini enzi zake alikuwa anaeleweka haswa nguvu yake ya kulitetea taifa. Wapo pia walioelezea kupoteza mwelekeo wake umetokana huenda na njaa.

Wewe jiulize tu hata wakati huu wa sasa ambapo upinzani umepata nafasi kwa jamii, ni kitu gani kinawafanya wanasiasa kama S-Sita, Mwakyembe, Magufuli nk. wasiondoke CCM na kujiunga na upinzani na hali mawazo na utendaji wao wa kazi unafahamika kabisa kuwa hauendani au haukumbatii ufisadi fisadi? Wangeunda hata chama kingine wakakiita CCM ya Uhakika au ya Kweli labda tungeelewa.

Kwahiyo uthubutu wa Mrema, tena kipindi kile ni lazima ukumbukwe. Tena kiongozi yeyote wa chama cha upinzani hatakiwi kusita kufanya mazungumzo naye kuona kama ushauri kutoka kwa Mrema unaweza kusaidia je katika harakati za kulikomboa Taifa.
 
mrema alifukuzwa uwaziri? baba liongo wewe sijawahi kuona. hujui hata historia ya nchi yako.

mrema aliwatupia uwaziri ubunge na uanachama wao akaondoka

Jenifa ubishi bila facts ni ......Kama kuna mtu atanithibitishia kwamba Mrema hakufukuzwa uwaziri nitahama jukwaa la siasa.

THE DISMISSAL OF MREMA
The nation was stunned and the CCM severely shaken on February 24 when they were told that President Mwinyi had dismissed Labour and Youth Development Minister and former Home Affairs Minister Augustine Mrema for indiscipline.

The event which triggered off the dispute between Mr Mrema and the President was a debate in the National Assembly in Dodoma following the publication of a Parliamentary Committee Report into the affairs of a prominent non-citizen businessman and owner of several farms, Mr V G Chavda – a case which has been hitting the headlines in the press for many months. The Committee recommended the arrest and prosecution of Mr Chavda over a multi-million shilling foreign exchange scandal. ‘The Committee alleged that Mr Chavda had misused Shs 916 million in debt conversion funds lent to him by the government, to develop four sisal estates he owned. Some ministers felt that he was innocent but on February 11 the government declared him a prohibited immigrant. Three days later the High Court restrained the government from deporting him.
Mr Mrema used the occasion to castigate the government. His conscience would haunt him, he said it he went along with the government line on Chavda. President Mwinyi therefore sacked him for failing to observe the rule of collective government responsibility.
Shortly after, Mr Mrema announced that, as he was being ‘harassed’ by the ruling party (the CCM) , he was resigning from it and had decided to join the opposition National Convention for Constitution and Reform – Mageuzi (Change) NCCR-Mageuzi whose Chairman Mr Mabere Marando promptly resigned to make way for him.
 
Kwenye mnanda aliimbwa hv 1.Umefukua mizizi chini iliyodumaa,ika2bana pumzi 2kashindwa kupumua. Chorus:Mrema fagio la chuma moto uliopendeza wafanyakazi wakulima gurudumu tunaendesha...........2.Tunamuomba mwenyezi akupe uzima kutokana na kazi uliyoifanya
 
Hivi mrema ameshawahi rudisha kadi ya CCM?WAPI NA LINI?
Kwanini anataka awe MWENYEKITI kila anakohamia?
Hii sio dalili za double agent kweli?

Nilikuwa namheshimu sana Mrema miaka ya nyuma kwa ufuatiliaji wake mzuri na utendaji wake ambao ulikuwa hauna mfano (nakumbuka vizuri jiji la Dar lilivyokuwa chafu na pale sokoni Kariakoo pia, Mrema alifuatilia katika kampeni za kuliweka jiji la Dar katika usafi na jiji kuwa safi sana na hata sokoni Kariakoo kuwa safi tena na kuweza kupitika....nilimsifu sana kwa hilo) , lakini heshima hiyo imekuwa ikipotea kidogo kidogo kutokana na matendo yake mengi na kubwa kuliko yote ni kuonyesha wazi kwamba yeye ni mvurugaji tu kila katika chama cha upinzani alichopitia. Na uchaguzi wa mwaka jana ndipo alinimaliza kabisa katika kampeni zake za kumpigia debe Kikwete pamoja na madudu chungu nzima aliyoyafanya badala ya mgombea Urais wa chama chake. Hivi mtu unasimamaje katika jukwaa na kumsifia Kikwete kwamba ni mtendaji mzuri ila wasaidizi wake ndiyo wanaomuangusha na hivyo kustahili kuchaguliwa tena kama Rais!? Lipi alilolitenda Kikwete katika awamu ya kwanza linalostahili kumpa sifa ya mtendaji mzuri. Siwezi kumpa Mrema sifa asizokuwa nazo, miaka ya nyuma alikuwa ni kiongozi bora ukilinganisha na wengi lakini sasa hivi ni bomu tu.

Inaelekea amezisoma alama za nyakati na labda kutaka kubadilika ili ajirudishie heshima aliyokuwa nayo miongoni mwa Watanzania wengi maana kauli zake za hivi karibuni kama mwenyekiti wa kamati mojawapo kule Bungeni zinaonyesha anataka kuchapa kazi. Tusubiri tuone kama kweli ataamua kubadilika au kutaka kutumia wadhifa wake mpya kumsifia Kikwete na CCM na kisha kukishambulia CHADEMA kila atakapopata nafasi ya kufanya hivyo.
 
Augustine and Christopher they are only opportunistic idiot! Hivi Watu wenye uchungu na nchi hii kama Dr. Ndembwela Ngunangwa mna wakumbuka vizuri? mnafahamu mateso waliyo pata toka sisiemu chini ya uongozi wa Anna Semamba Makinda (Binamu yake) na walibaki kuwa watiifu kwa umma na sio ulamba viatu wa akina lytonga Mrema.Nendeni pale changanyikeni Mkamwone huyu mzee awaambie matatizo ya nchi hii na kilicho mpata kwaajili ya kupigania wananchi................

The last time i checked Ndembela Ngunangwa alijitoa CCM baada ya kushindwa katika kura za maoni mwaka 1995, sasa ni nani opportunist hapa...aliyejitoa CCM akiwa Mbunge na Waziri wa Kazi au yule aliyejitoa CCM baada ya kushindwa kwenye kura za maoni?

By the way, nadhani Ndembela Ngunangwa alirudi tena CCM baada ya kushindwa katika uchaguzi wa 2000, i might be wrong!!
 
Back
Top Bottom