hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
- Thread starter
- #21
Mi jamaa alinipigia kwa kutumia Airtel akitaka kunitapeli kwenye Voda, nikamuuliza inakuwaje Voda watumie Airtel kuwasiliana na wateja wao ......jamaa akakata simu
Sent using Jamii Forums mobile app
Inabidi mtu uwe very active kiakili bila hivyo aaah unapigwa