kayanda01
JF-Expert Member
- Feb 14, 2014
- 1,086
- 913
- Thread starter
- #61
Mimi nasikia Knock hapo.
kwa mujibu wa maelezo yako kuwa engine kwenye cold start huisikii lakini ikipata moto na ikiwa idle unaisikia, naweza kusema oil pump ina matatizo. Lakini je, taa ya Oil inawaka kwenye dashboard? na kama haiwaki, una uhakika kuwa waya wake umechomekwa kwenye oil pump yenyewe? Isije kuwa imekuwa bypassed na mafundi au labda kama kuna mtu amekuuzia hio gari ikawa imepigwa tape taa ya oil kwenye dashboard. Lakini inawezekana oil uloweka nayo kuwa ni nyepesi sana.
Ukijiridhisha kuwa oil pump nzima, tafuta fundi afungue tu oil pan halafu atizame mkono mmoja mmoja akikuta mkono unashake tu basi tatizo mtakuwa mshalijua
Sawa mkuu chilubi , shukrani kwa insights zako.
Taa ya oil haijawaka bado.
Engine oil natumia 5w30 quartz 9000 (full synthetic) ya TOTAL.
Yes, hiyo knocking ni mpaka engine inapochemka ndo inaanza, at idle only, pia at low rpm only (max rpm 1,200). Mfano napowasha gari asubuhi na kuiacha tu kwenye silencer, inachukua dakika 20 hivi ndipo knock inaanza.