Jambo la Aucho limekwisha,kwa sasa kamati ya wahuni wananusa kwa Toto na Bangala Litombo.Hivi kipindi Cha dirisha la usajili aucho hamkumuona?
Mimi nilijua tetesi kumbe kweli mlikuwa mnahonga timu pinzani zikamie simba?Hiyo ndo kansa imeitesa yanga kwa miaka mingi. Wapigaji wengi sana.
Suala la manara ni jambo lisiloingia akilini. Jamaa kashiriki kwenye umafia na hata suala la morison yeye na marehem Hans pope (R. I. P) ndo engeneers.
But all in all adui teka watu wake ujue mbinu zake. Hata suala la kuhonga timu pinzani ili ikamie ndo kalitoa.
Nawew njoo nikuingizie mandingo m.d.o.m.o.nikaiuze hii mbusus pale msamvu wenzio wanakusubiria
Nawew njoo nikuingizie mandingo m.d.o.m.o.ni
Kumbe unapenda,njoo sasa mandingo ipowaaow shosti kumbe huwa wananiingizia mdomoni aisee
mpaka diara mtamchukua?duh,lengo hasa ni nini?Jambo la Aucho limekwisha,kwa sasa kamati ya wahuni wananusa kwa Toto na Bangala Litombo.
Kumbe unapenda,njoo sasa mandingo ipo
Kwani Morrison ilikuwa je?Kolo msimu huu mtateseka sana na tabiri uchwara
Mi sisemi kitu nyie endeleeni kuishi kwa kukariri mambo ya kipuuzi.Kwani Morrison ilikuwa je?
Si alipewa mkataba wa miezi 6?
hata huyo aucho inawezekana kapewa mkataba wa miezi 6
Katika mpira lolote laweza tokea kikubwa uwe na helaHabari kutoka vyanzo vya kuaminika kutoka Uganda zinasema kiungo anayekipiga Yanga huenda akajiunga na Simba dirisha dogo
Pia habari zinaonyesha kuwa mkataba aliosaini kunako clab ya Yanga ni wa kubumba kama aliowahi kufanyiwa Benard Morison
Habari zaidi zinakuja
Tumpelekee moto mdadaHata wew tunakutamani,ni swala la mda tu
Hongereni, nadhani hamtafungwa tena na vitimu ka kile Cha Botswana!Jambo la Aucho limekwisha,kwa sasa kamati ya wahuni wananusa kwa Toto na Bangala Litombo.
Kufungwa kwenye mpira kupo tu ni sehemu ya mchezo.Hongereni, nadhani hamtafungwa tena na vitimu ka kile Cha Botswana!
Israel Patrick MwendaShida ya simba ni Aucho au ni striker plus centreback?,
Nafasi pia ya kapombe wakumsaidia
Kumbe kweli mnahonga timu pinzani zitukamie.Hiyo ndo kansa imeitesa yanga kwa miaka mingi. Wapigaji wengi sana.
Suala la manara ni jambo lisiloingia akilini. Jamaa kashiriki kwenye umafia na hata suala la morison yeye na marehem Hans pope (R. I. P) ndo engeneers.
But all in all adui teka watu wake ujue mbinu zake. Hata suala la kuhonga timu pinzani ili ikamie ndo kalitoa.
Ajizi nyumba ya njaaIla uto wamezoea maisha ya shida! Huwa wanaanza kwa fujo wanamaliza vichwa chini.
Aucho kutua msimbazi ni suala la muda tu. Tatizo utopolo wababaishaji sana, wamejibainisha kuwa ni timu inayoendeshwa kwa propaganda sio kiuweledi.
Aucho plus Chama anarudi mbona litakufa jitu. Naomba wamchukue na Bangala yule kiwango chake ni cha kuchezea simba sio utopolo.