Mtangoo
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 6,167
- 5,602
Acha ujinga wewe. Kichaa wa miaka 15 huwezi muua kwa bahati mbaya.Heading ilitakiwa isome chizi auliwa na jamii kwa bahati mbaya ya kutojua kuwa alifanya uchizi
Maana yake anajulikana. Na kati ya hao waliomwua hawajasema bahati mbaya wala hawajutii!
Halafu Pakistani huijui. Ni kawaida mkagombana na mtu ugomvi wa shamba akakusingizia umemkurufuru Muhammad au Allah au kitu kingine kinachoangukia kwenye sheria yao ya kufuru ambayo hukumu ni kifo. Na huwa hawasubiri mahakama, bali wanafanya tu mob murder.
Ukiijua vizuri Pakstani na mambo yake utaacha huu ujinga! Kule serikali ni kama ipo geresha tu!