Wewe husikii huyo alikuwa ni kichaa sasa mtu gani mwenye akili zake anayeweza kufanya kitendo kama hicho. Watu inatakiwa watumie akili badala ya kutanguliza tu jazba.Samia Suluhu akiteua muislamu JF huchafuka kwa malalamiko. Na kwakuwa ni jambo linalowafirahisha huwa wasimamizi wapo kimya.
Huwa huo uvumilivu mnakuwa mmeusahau wapi?
Unadhani waislamu wangekuwa na upuuzi huo wa dharau kwa vitabu vyenu hii nchi ingekuwa na hii amani uionayo?
Kumbuka tu mlivyoshindwa kujibu hoja mkaita mihadhara ya kashfa, uvumilivu mlimuazima jirani!?