Auawa, akatwa korodani na koromeo na watu wasiojulikana mkoani Mwanza wilaya ya Sengerema

Mtu mmoja ambaye hajatambulika jina lake, mkazi wa Mwanza na mfanyabiashara ya Tax amekutwa amekufa kwenye tax yake wilayani Sengerema baada ya kukodiwa na watu wasiojulikana kutoka jijini Mwanza.

Mtu huyo aligundulika kuwa ameuawa, kwa kunyongwa na kamba ngumu iliyofungwa shingoni kisha kwenye usukani wa gari lake pamoja na mikononi.

Marehemu amekutwa amekatwa Korodani kwa maana ya kende(pumbu), amenyofolewa koromeo na kuchomolewa macho yote mawili.

Marehemu inasemekana alikokodishwa na watu waliohitaji huduma ya tax kutokea mkoani Mwanza kwenda wilaya ya Sengerema.

Watu hao inasemekana baada ya tukio hilo walimtelekeza marehemu kwenye gari na kutokomea kusikojulikana.

Marehemu alipelekwa mochwari na kusafirishwa kupelekwa kwao Kamachumu wilaya ya Muleba na amezikwa Jana Kijijini kwao.

Bwana ametwaa ila wasiojulikana wametwa Zaidi, jina la bwana liimidiwe.

Inasemekana matukio haya ni mengi mkoani Mwanza, Je Nini kinaendelea mkoani Mwanza?.
Mganga wa kweli ni camera za usalama kila kona ya nchi
 
Ukibobea kutegemea mambo ya ushirikina kujipatia kipato ni hatari sana. Akili yote inakuwa lemavu(in short unakuwa taahira fulani hivi).
Unakuwa una pesa lakini mchafumchafu, bosi lakini rafurafu, unataka uongee mwenyewe wakati wote, kwenye vikao wewe ndio mwongeaji, mtu akitaka kuchangia hoja unamkatiza kabla hajamaliza pointi zake, nk.
Ni hatari sana, mwisho wake in mauti!
 
Biashara ya viungo vya wanadamu imeshamiri, dola ifanye hima ikomeshe hii mitandao tutakwisha - hasa mikoa ya kanda ya ziwa.
Kama kwa kafara hapo labda lakini kama ni kwa ajili ya kupandikiza kwa binadamu mwingine sidhani kama viungo vinanyofolewa hivyo.
 
Mtu mmoja ambaye hajatambulika jina lake, mkazi wa Mwanza na mfanyabiashara ya Tax amekutwa amekufa kwenye tax yake wilayani Sengerema baada ya kukodiwa na watu wasiojulikana kutoka jijini Mwanza.

Mtu huyo aligundulika kuwa ameuawa, kwa kunyongwa na kamba ngumu iliyofungwa shingoni kisha kwenye usukani wa gari lake pamoja na mikononi.

Marehemu amekutwa amekatwa Korodani kwa maana ya kende(pumbu), amenyofolewa koromeo na kuchomolewa macho yote mawili.

Marehemu inasemekana alikokodishwa na watu waliohitaji huduma ya tax kutokea mkoani Mwanza kwenda wilaya ya Sengerema.

Watu hao inasemekana baada ya tukio hilo walimtelekeza marehemu kwenye gari na kutokomea kusikojulikana.

Marehemu alipelekwa mochwari na kusafirishwa kupelekwa kwao Kamachumu wilaya ya Muleba na amezikwa Jana Kijijini kwao.

Bwana ametwaa ila wasiojulikana wametwa Zaidi, jina la bwana liimidiwe.

Inasemekana matukio haya ni mengi mkoani Mwanza, Je Nini kinaendelea mkoani Mwanza?.
Jina hajajulikana! Halafu amezikwa kwao Muleba kamachumu!! Duuh
 
Mtu mmoja ambaye hajatambulika jina lake, mkazi wa Mwanza na mfanyabiashara ya Tax amekutwa amekufa kwenye tax yake wilayani Sengerema baada ya kukodiwa na watu wasiojulikana kutoka jijini Mwanza.

Mtu huyo aligundulika kuwa ameuawa, kwa kunyongwa na kamba ngumu iliyofungwa shingoni kisha kwenye usukani wa gari lake pamoja na mikononi.

Marehemu amekutwa amekatwa Korodani kwa maana ya kende(pumbu), amenyofolewa koromeo na kuchomolewa macho yote mawili.

Marehemu inasemekana alikokodishwa na watu waliohitaji huduma ya tax kutokea mkoani Mwanza kwenda wilaya ya Sengerema.

Watu hao inasemekana baada ya tukio hilo walimtelekeza marehemu kwenye gari na kutokomea kusikojulikana.

Marehemu alipelekwa mochwari na kusafirishwa kupelekwa kwao Kamachumu wilaya ya Muleba na amezikwa Jana Kijijini kwao.

Bwana ametwaa ila wasiojulikana wametwa Zaidi, jina la bwana liimidiwe.

Inasemekana matukio haya ni mengi mkoani Mwanza, Je Nini kinaendelea mkoani Mwanza?.
Kwanini hi mikoa yenye wakristo aslimia kubwa, mahuaji yanakuwa wengi Sana,tofauti na mikoa ya pwani? au yenye asilimia kubwa ya Waislamu? Wakati siku zote tunaambiwa Waislamu Ni wakorofi sana na Wana roho chafu
 
Mtu mmoja ambaye hajatambulika jina lake, mkazi wa Mwanza na mfanyabiashara ya Tax amekutwa amekufa kwenye tax yake wilayani Sengerema baada ya kukodiwa na watu wasiojulikana kutoka jijini Mwanza.

Mtu huyo aligundulika kuwa ameuawa, kwa kunyongwa na kamba ngumu iliyofungwa shingoni kisha kwenye usukani wa gari lake pamoja na mikononi.

Marehemu amekutwa amekatwa Korodani kwa maana ya kende(pumbu), amenyofolewa koromeo na kuchomolewa macho yote mawili.

Marehemu inasemekana alikokodishwa na watu waliohitaji huduma ya tax kutokea mkoani Mwanza kwenda wilaya ya Sengerema.

Watu hao inasemekana baada ya tukio hilo walimtelekeza marehemu kwenye gari na kutokomea kusikojulikana.

Marehemu alipelekwa mochwari na kusafirishwa kupelekwa kwao Kamachumu wilaya ya Muleba na amezikwa Jana Kijijini kwao.

Bwana ametwaa ila wasiojulikana wametwa Zaidi, jina la bwana liimidiwe.

Inasemekana matukio haya ni mengi mkoani Mwanza, Je Nini kinaendelea mkoani Mwanza?.
Kwanini hi mikoa yenye wakristo aslimia kubwa, mahuaji yanakuwa wengi Sana,tofauti na mikoa ya pwani? au yenye asilimia kubwa ya Waislamu? Wakati siku zote tunaambiwa Waislamu Ni wakorofi sana na Wana roho chafu!

Tunakwama wapi wakristo
 
Mtu huyo aligundulika kuwa ameuawa, kwa kunyongwa na kamba ngumu iliyofungwa shingoni kisha kwenye usukani wa gari lake pamoja na mikononi.
Mmeona wengine wanavyonyongwa sio kama yule police uchwara aliyejinyonga kwa tambara/dekio
 
Wengi wao ni wavuvi na wachimbaji madini ndiyo wanafanyaga huo upuuzi
We,wwewe, we we wewe

Wewe. Acha kutusingizia kabisa. Sisi tunavuna bila kupanda. Alipanda mungu hatuhitaji mapumbu kupata samaki. Nyavu na ndoano zinatosha
 
Kwanini hi mikoa yenye wakristo aslimia kubwa, mahuaji yanakuwa wengi Sana,tofauti na mikoa ya pwani? au yenye asilimia kubwa ya Waislamu? Wakati siku zote tunaambiwa Waislamu Ni wakorofi sana na Wana roho chafu!

Tunakwama wapi wakristo
Uislam unaamini duniani tunapita maisha yetu yako akhera. Kuna Wakristu wanaamini hivyo pia.
 
Back
Top Bottom