Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Kuna sababu ya kuwashirikisha wapinzani katika jumuia ya Nchi za Afrika AU ,kama vile katika mashirikisho ya Ulaya ambapo vyama wapinzani hupata nafasi ya kuweka wajumbe .
Kwa ufupi vyama vyote vyenye wabunge jupewa nafasi ya kutoa wabunge watatu kuwepo katika ushirika huo,
Hivyo hapa Afrika kunahitajika kuwemo kwa wabunge kutoka vyama vya upinzani kwa nchi zilizomo katika umoja huo ,ile tabia ya kushirikisha wabunge wa chama kinachotawala peke yake ni ya ukandamizaji na hauwezi umoja huu ukaonekana kama ni wa Afrika nzima bali ni wa wachache tu ambao kumekuwepo na tabia ya kulindana au kutumia umoja huo kuukandamiza upinzani.
Kwa ufupi vyama vyote vyenye wabunge jupewa nafasi ya kutoa wabunge watatu kuwepo katika ushirika huo,
Hivyo hapa Afrika kunahitajika kuwemo kwa wabunge kutoka vyama vya upinzani kwa nchi zilizomo katika umoja huo ,ile tabia ya kushirikisha wabunge wa chama kinachotawala peke yake ni ya ukandamizaji na hauwezi umoja huu ukaonekana kama ni wa Afrika nzima bali ni wa wachache tu ambao kumekuwepo na tabia ya kulindana au kutumia umoja huo kuukandamiza upinzani.