Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
Unaweza kukuta madai yao yana ukweli. Wapewe nafasi waeleze ni vipi wanaamini hawa viongozi wameuza nchi. Hata mie naamini nchi imeuzwa kwa fisadiz. Si Mwinyi na Mkapa pekee bali hata Kikwete. Ndiyo Indume Yene nimesema hivyo kuwa nchi imeuzwa. Njooni mnikamate sasa.