Atunukiwe PhD Mwl. Christopher Mwakasege

Atapewa tuu kama ana stahili kuna huyu mwenye vyeo vya BABA MHESHIMIWA DOCTOR NABII GEOR DAVIE vyeo nje nje akionekana anastahil na yeye labla atapewa
 
Mkutano wake wa mwaka jana morogoro ilikuwa kipindi cha mvua ile siku ya 1 tu Jamaa akaomba samahani kwa wakazi wa moro wanaohitaji mvua maana Mungu anahitaji watu waje ktk mkutano hivyo alipiga maombi ya kufunga mvua na ndivyo ilivokuwa kwa siku zote za mkutano hakukuwa na mvua wala manyunyu. Siku anamaliza mkutano akashukuru na kutangaza "kesho tukimaliza kukusanya virago vyetu tutaruhusu mvua iendelee" lahaula! kama kawa kesho yake mida ya alasiri mvua ikarejea. I was shocked.

Yes uko sahihi mkuu
Same to dar, last year,mkutano WA mwezi WA 3,kulikuwa kuna mvua sana , akaomba na mvua ika stop!
Mpaka tulipomaliza mkutano.

Hawa ndo watumishi walioketi kwenye kiti cha enzi na Yesu!
Wana mamlaka,na wakisema jambo linakuwa!
 
Yes uko sahihi mkuu
Same to dar, last year,mkutano WA mwezi WA 3,kulikuwa kuna mvua sana , akaomba na mvua ika stop!
Mpaka tulipomaliza mkutano.

Hawa ndo watumishi walioketi kwenye kiti cha enzi na Yesu!
Wana mamlaka,na wakisema jambo linakuwa!

Dada with all due respect.. . . . .huu ukame wa mwaka huu ya hauoni, tishio la njaa we hulioni au uko mbali na kilimo??!!!
Au mpaka awe ana hoja yake ndio anazuia na kuruhusu mvua???!!
 
Dada with all due respect.. . . . .huu ukame wa mwaka huu ya hauoni, tishio la njaa we hulioni au uko mbali na kilimo??!!!
Au mpaka awe ana hoja yake ndio anazuia na kuruhusu mvua???!!

Hahaaa mzima!!
Kwani yeye huwa anazuia mpaka njaa itokee nop!
Yeye huwa anazuia kwa siku anazokua na mkutano na ni siku 7 , then baada ya hapo mvua inaendelea kana kawaida.

BTW angalia huko kulikotokea maafa kwa ajili ya mvua!!
Mvua imezidi imeharibu mazao!
 
Baba Colins kitabu hiki kitakusadia kujua nafasi yako ktk familia yako kwa jamaa zako na hata kwa taifa lako!

Anaposema lango haimaanishi kuwa ni mzaliwa wa kwanza tu unaweza ukawa wa mwisho ukajikuta ukifanya majukumu yaliyopasa ayafanye ndugu yako mkubwa!

mfano mzuri ni Esau na Yakobo!
 
Last edited by a moderator:
Na ambao si wazaliwa wa kwanza kinawasaidieaje hicho kitabu?

Kitakusaidia kujua namna ya kumwombea mzaliwa wa kwanza wa familia yako (mzaliwa wa kwanza anayekuhusu) kwani mzaliwa wa kwanza kama lango anaweza kupitisha baraka au laana ikawafikia watu wote wa hiyo familia.
Pia kitakusaidia jinsi ya kuombea mtoto wako wa kwanza kama lengo.
Kama upo dar nenda Azania fron Luther house ulizia ofisi za MANA utapata hicho kitapa part one na two.
Mungu akuwezeshe
 
Hahaaa mzima!!
Kwani yeye huwa anazuia mpaka njaa itokee nop!
Yeye huwa anazuia kwa siku anazokua na mkutano na ni siku 7 , then baada ya hapo mvua inaendelea kana kawaida.

BTW angalia huko kulikotokea maafa kwa ajili ya mvua!!
Mvua imezidi imeharibu mazao!

Ok, mi mzima my dada nilidhani anaweza fanya jambo huku mashambani bhana
 
Those who are immune to the praise of man are also immune to the criticism of man. (John 5,44) REINHARD BONNKE
 
Criticism and Praise are the Same

If you do anything unique, people will attack you for it. Self-motivation depends on having a thick skin, persisting in spite of criticism. But equally important is the ability to not let praise consume you, either. Because, praise and criticism are just reflections of each other.

In order to properly handle criticism, you also need to properly handle praise. If someone excessively flatters you for a minor success, you need to internalize it the same way you would internalize a scathing insult. The person that is easily flattered is also easily criticized.

Ultimately, only you can steer your life. If you allow yourself to be misled by attacks or flattery, you won't reach your destination. source: Criticism and Praise are the Same « Scott H Young
 
Moja ya waalimu wachache sana ninaowakubali. Anajua kufundisha. Hajawahi kuniacha na maswali yasiyo na majibu!
 
mm nadhani Ambilikile Masapile (babu wa loliondo) ndiye anayestahili Phd katika category ya degree without school. Wengi watanishangaa lakn i stand to be correct!

Hivi unajua Mwakasege ni nani kwenye medani za uchumi wa kimataifa kwenye world bodies kama worldbank international monetary fund and united nation?

Unamjua Mwakasege ni nani kwenye uchumi wa hii nchi na Africa kiutendaji?
 
Msipende vya kupewapewa kama anataka phd aingie class apige kitabu, izo degree za kupewa sio nzuri wala hazibadilishi heshima ya mtu. Angalia kina Kikwete wamepewa ngapi na bado anaonekana wa kawaida tu na baadhi ya watu wakigoma kumwita profesa. Yesu alifundisha sana lakini hakuomba degree na bado heshima yake ni kubwa, Mwl. Nyerere hadi anaongoza taifa hili kwa uadilifu mkubwa hadi leo anaheshimika na kila mtu bado aliitwa Mwalimu. Mi nadhani Mchungaji Mwakasege inafaa sana kuliko Profesa Mwakasege unless atakaposoma na kuwa prof. ndipo title yake itabadilika coz tutakuwa hatuna jinsi kama tuwaitavyo kina Prof. Lipumba, Prof. Mwandosya na ni maprofesa kweli
Elimu na status ya Mwakasege kwenye uchumi wa kimataifa kwa hapa Tanzania hana mbadala na kama haumjui Mwakasege wala usimseme waulize wanaomfahamu watakwambia.
 
Akimaliza kazi atavalishwa taji.

Ualimu ni karama ya kibiblia, hivyo vyeo vingine tuwaachie akina Mkuu wa Kaya.
 
Hawawezi kumpa kwasababu anachoma mioyo yao na kugundisha kwel,angekuwa yupo kimaslai binafsi wangeshampa

But acha apige kazi heshima anayoipata mbele za Mungu ni zaidi ya heshima za wanadamu
 
Back
Top Bottom