kamituga
JF-Expert Member
- May 31, 2019
- 1,195
- 1,919
Wakuu kwema nijikite moja kwa moja kwenye mada.Malalamiko yamekua mengi kwenye mitandao ya kijamii mtu asie jua anaweza kufikiri pengine chato ni burundi au Rwanda pengine kuna watu special au vitambulisho special ili uweze kuishi pale mi sioni kosa la no1 kwan? Atahuko ni aridhi ya Tanzania na mimi ni mtanzania tajisogeza tu hapo kwan? Bei gan!!!!