Attributes of African Leaders

Jim

Member
Mar 7, 2008
70
4
Sometimes it's as if all African leaders of the current era are from the same family. Except for the freedom fighters modern Africa leaders share the following common problems:

1. Lack of discipline

2. Lack of seriousness

3. Immaturity

4. Greed

5. Laziness

Tanzanian leaders are no exception. Kikwete and his friends are nothing but big jokes. What Tanzanians need to do is wait Kikwete's 10 yrs to elapse and wonder who will become the next fisadi.
Utafikiri kuna mtambo wa kutengeneza mafisadi. MUNGU BARIKI!
 
Sometimes it's as if all African leaders of the current era are from the same family. Except for the freedom fighters modern Africa leaders share the following common problems:

1. Lack of discipline

2. Lack of seriousness

3. Immaturity

4. Greed

Tanzanian leaders are no exception. Kikwete and his friends are nothing but big jokes. What Tanzanians need to do is wait Kikwete's 10 yrs to elapse and wonder who will become the next fisadi.
Utafikiri kuna mtambo wa kutengeneza mafisadi. MUNGU BARIKI!

Kwa hiyo unakubaliana na Dr Watson waafrika ndio tulivyo.....
 
Sometimes it's as if all African leaders of the current era are from the same family. Except for the freedom fighters modern Africa leaders share the following common problems:

1. Lack of discipline

2. Lack of seriousness

3. Immaturity

4. Greed

Tanzanian leaders are no exception. Kikwete and his friends are nothing but big jokes. What Tanzanians need to do is wait Kikwete's 10 yrs to elapse and wonder who will become the next fisadi.
Utafikiri kuna mtambo wa kutengeneza mafisadi. MUNGU BARIKI!


Immaturity??!!
 
Tunarudi pale pale tu:
Namna pekee ya kupata mabadiliko ya kweli ya kisiasa na kiuchumi Tanzania ni Msajiri wa Vyama vya Siasa nchini kukifuta chama cha Mapinduzi.

Sababu ni hizi:
Chama cha Mapinduzi kimejivisha madaraka makubwa sana. Amini usiamini chama hiki kina nguvu kuliko Bunge, Serikali, Mahakama au chombo kingine chochote hapa nchini.
Chama hiki kina uwezo wa kuvunja sheria yoyote ya nchi bila kufanywa lolote na yeyote. Kina uwezo wa kuvunja sheria ya nchi halafu kikaliagiza jeshi la polisi na mahakama nini cha kufanya!
Viongozi wake wanaweza kukaa miaka 5 bila kufanya lolote la maendeleo kwa taifa, halafu wakati wa uchaguzi wakamwagiza mtu au taasisi yeyote ikipe chama fedha na mtu huyo akashinda uongozi tena.
Chama hiki pia kimetambua kuwa namna ya kuendeleza ufisadi ni kuhakikisha kwamba watanzania wanaendelea kuwa maskini siku zote ili wawe waoga na wasiwe na hoja. Ukiwapa sh. 10,000 au 100,000 umepata uongozi bila maswali!
Umaskini wa watanzania sio swala la hali ya nchi au hali ya hewa. Ni wale wanaojiona wajanja wachache sana wamepanga hivyo!
Chama hiki pia kinatisha. Wanachama wake ambao wangeweza kuwa viongozi wazuri (na kinao wengie kimewaficha) wanagwaya kukohoa (kusema ukweli kwenye matatizo) au kutoka kwenye chama hiki. Kupata uongozi Tanzania sio kwa sifa za utendaji bali ni kwa jinsi unavyoweza kutii wakubwa hata kwa jambo ambalo ni kinyume kabisa na maadili au hekima za kawaida za binadamu.
Kimelifanya jambo la kutoka kwenye chama kama kosa la ki-ugaidi. Hivyo wengi hawathubutu!
Lakini kina wanachama ambao wanaweza kuwa viongozi wazuri sana na watendaji wazuri sana kama nchi yetu ingekuwa na uhuru na demokrasia ya kweli. Lakini watu hawa wamezidiwa nguvu na Chama hiki.
Chama hiki kimekuwa ni taasisi iliyo mbele kuvunja sheria za nchi kuliko mtu au taasisi yeyote nyingine.

Namna ya kuleta mabadiliko ya kweli ni kukifuta chama hiki kwa sababu ya ufisadi na uvunjaji wa sheria za nchi uliokithiri ili wanachama wake watawanyike kwenye vyama mbali mbali na kuwe na balance ya nguvu za kufanya maamuzi za kisiasa.
Kwa matendo yake chama hiki hakina tofauti na mtu anayeanzisha chama kwa sababu za ugaidi au ufisadi - HASTAHILI. CCM HAISTAHILI pia. TUIWEKE KWENYE JUMBA LA MAKUMBUSHO kwa kumbukumbu na historia yetu watanzania. Sasa hivi hamna lolote jipya ndani ya CCM.
Kumbuka silaha yao kubwa ni wingi wao. Na hatari moja ya "demokrasia" ndio hiyo: kura nyingi ndio ushindi. Wendawazimu wakiweza kujiunga kwa wingi wakawa wanafanya maamuzi yao ya kiuchizi-uchizi (ukiwahoji machizi hao watakwambia kwamba ni demokrasia ndiyo inatumika), nchi hiyo ina hatari mpaka litokee kundi jingine litakolokuwa kubwa zaidi na lenye nguvu za kisiasa.
Kwa Tanzania kundi jingine ni vigumu kujiandaa na kuizidi nguvu CCM kwani CCM wataingiza mamluki wao na muda si mrefu mnaanza kuulizana “nani kajamba", “nani kajamaba" bila kupata jibu.
Kumbuka Chama hiki kina uwezo wa kuiagiza mahakama au polisi kitu chochote kile, kwa hiyo hamna pa kwenda. Ni kama vile kuwa kinyume na CCM ni sawa na kuwa kinyume na dola. Vyombo hivi ndio ambavyo vingetusaidia kujenga uswa na haki na demokrasia ya kweli (kama ipo) lakini vinashirikiana na CCM kuvunja sheria za nchi na kuwantika wananchi haki zao za kisheria.
Kama hatuwezi kupata hayo yote kwa sababu ya kuwepo fisadi CCM kwa nini tusitatue tatizo letu kubwa kwanza - kufuta CCM halafu tujenge taifa.

Nilipotoa hii mada mtu mmoja (sijui mwana-CCM yule) akadai nipunguze hasira. Kuna nini la kufurahia hapa sasa?
 
Kichuguu,

Inawezekana ni kweli kwa nadharia. Lakini si hivyo katika kila jamii.
 
Back
Top Bottom