SHANTI
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 296
- 365
Ndugu wana JF,
Ningependa kutoa wito kwa kila mwenye akaunti humu JF,instagram,twitter na facebook na WhatsApp kubadali profile picture au Avatar yake kila siku ambayo mwanzilishi wetu wa jamii forum Bw. Maxence Melo atakapokuwa anapandishwa kizimbani ikiwa ni ishara ya kuonesha kwamba tupo naye kwenye majonzi mazito.
Ikumbukwe pia kutokana na udogo wa chumba mahakama ,na pia baadhi ya member kwa namna moja au nyingine hawatoweza kuhudhuria kesi hii basi sio vibaya kubadili profile picha yako ili watu waliokuzoea wajiulize umemuweka nani? Jinsi wanavyojiuliza ndivyo ujumbe utasambaa kwa watu wengi na kuwafanya wasiomjua wamjue kuanzia siku hiyo walipoiona picha yake kwako.
Angalizo unapotumia picha yake kwenye kurasa za facebook, instagram na twitter usisahau hashtag yetu ile.
Karibuni kwa kila mwenye mchango wa kuboresha wazo hili
Ningependa kutoa wito kwa kila mwenye akaunti humu JF,instagram,twitter na facebook na WhatsApp kubadali profile picture au Avatar yake kila siku ambayo mwanzilishi wetu wa jamii forum Bw. Maxence Melo atakapokuwa anapandishwa kizimbani ikiwa ni ishara ya kuonesha kwamba tupo naye kwenye majonzi mazito.
Ikumbukwe pia kutokana na udogo wa chumba mahakama ,na pia baadhi ya member kwa namna moja au nyingine hawatoweza kuhudhuria kesi hii basi sio vibaya kubadili profile picha yako ili watu waliokuzoea wajiulize umemuweka nani? Jinsi wanavyojiuliza ndivyo ujumbe utasambaa kwa watu wengi na kuwafanya wasiomjua wamjue kuanzia siku hiyo walipoiona picha yake kwako.
Angalizo unapotumia picha yake kwenye kurasa za facebook, instagram na twitter usisahau hashtag yetu ile.
Karibuni kwa kila mwenye mchango wa kuboresha wazo hili