Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 21,994
Lori moja kubwa likiwa na kontena ndefu likiwa linaelekea njia ya tanki bovu kushuka barabara ya mboma limekata waya za umeme 4 ,tunaomba wenye uwezo wa kuwasiliana wawajulishe kabla ya maafa zaidi.....limekata waya hizo muda si mrefu usiku huu
hapa kwenye kona ya top garage......
Wenye kuweza kuwasiliana/kuwajulisha tanesco tutashukuru zaidi
bwana awe nawe!!!!
hapa kwenye kona ya top garage......
Wenye kuweza kuwasiliana/kuwajulisha tanesco tutashukuru zaidi
bwana awe nawe!!!!