Atomic bomb

buzitata

JF-Expert Member
Apr 11, 2017
1,996
7,064
Hi

Je wajua kuwa atomic bomb ni bomb lililotengenezwa kutokana na mzozo wa kanuni za fizikia uliotekea miaka ya 1930

Mwanasayansi Albert Einstein akiwa katika hali ya masihara alivumbua kanuni ya nguvu(energy)

Wanasayansi weng kwa wakati huo waliweza kumpnga kichini chini kwa kuona ni kitu kisichowezekana

Ilopotokea fursa wakat wa ww2 Einstein alimwandkia barua Rais wa wakat huo wa marekani juu ya utumiaj zana mpya ya kivita kutokana na tensions kutoka kwa mjeruman coz nae alikua kwenye mpango mkakati wa kujenga kinu

Baada ya Bomu hilo kuleta madhara Albert Einstein aliweza kujutia nafsi yake kwa kuandika (nimetengeneza tena tatizo lingine LA dunia) huku pia yule mwanasayansi aliekua akiendesha ile project aliweza kujuta na kuamua kujiunga na kuongoza taasisi ambazo zilikua zkishughulka na uzuiaji wa matumizi ya silaha za nyuklia
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom