Ati wewe ungepanga vipi?

Ntumami

Senior Member
Sep 3, 2010
127
23
Jamani nauliza si kwa nia ya kuendekeza ukabila ila kwa ku-consider tabia na experience za makabila, laiti ungepewa kupanga wizara kuendana na makabila ili kuongeza ufanisi wewe ungezipanga vipi?

mimi naanza mfano;
  1. wakurya- wizara ya ulinzi
  2. wazaramo- wizara ya habari
  3. wapare- benki kuu
  4. wachaga- wizara ya fedha
  5. wasukuma- wizara ya ustawi wa jamii
  6. maasai- wizara ya utalii
  7. wahaya- wizara ya mambo ya nje [wangeisifia vizuri sana nchi yetu hawa]


ongeza na ya kwako....
 
Wakerewe na waha- Wizara ya uvuvi.
wizara ya nishati na madini ingekosa watu.
 
Wakerewe na waha- Wizara ya uvuvi.
wizara ya nishati na madini ingekosa watu.

hapo kwenye madini hakika wasukuma wasingekosa!!! nenda mgodi wowote ule nchi hii kama una zaidi ya miaka 2 kuna msukuma wa shinyanga hapo!!!
 
wizara ya viwanda na biashara nitawafikiria wahindi na wapemba
 
Jamani nauliza si kwa nia ya kuendekeza ukabila ila kwa ku-consider tabia na experience za makabila, laiti ungepewa kupanga wizara kuendana na makabila ili kuongeza ufanisi wewe ungezipanga vipi?

mimi naanza mfano;
  1. wakurya- wizara ya ulinzi
  2. wazaramo- wizara ya habari
  3. wapare- benki kuu
  4. wachaga- wizara ya fedha
  5. wasukuma- wizara ya ustawi wa jamii
  6. maasai- wizara ya utalii
  7. wahaya- wizara ya mambo ya nje [wangeisifia vizuri sana nchi yetu hawa]


ongeza na ya kwako....

hapo namba 2....hata mimi kwenye baraza langu la mawaziri ningewapa hiyo wizara.....wanafaa sana....
 
hivi wanyakyusa wamekosa wizara kabisa....katika baraza hili.....?
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom