Wanajamvi,
Kuna kawimbo huwa nakasikia siku hizi ati "ukiwa mjanja, kuchapiwa ni siri ya ndani". Huwa siamini masikio yangu na siamini kama huwa nasikia haya maneno sawasawa. Sijaelewa maana yake ila kwa maana ya kuchapiwa ninayoijua kwa kiswahili cha mtaani, mh!
Mwanaume anayeona na kuamini kuwa kuchapiwa ni ujanja, basi lazima ana matatizo hasa ya nguvu za kiume. Unajua kuwa dume kama wewe linakusaidia unaona ni ujanja!!!! Ukifikia hapo ujue hata kuchapwa wewe mwenyewe utaona kuwa ni ujanja.
Kuna kawimbo huwa nakasikia siku hizi ati "ukiwa mjanja, kuchapiwa ni siri ya ndani". Huwa siamini masikio yangu na siamini kama huwa nasikia haya maneno sawasawa. Sijaelewa maana yake ila kwa maana ya kuchapiwa ninayoijua kwa kiswahili cha mtaani, mh!
Mwanaume anayeona na kuamini kuwa kuchapiwa ni ujanja, basi lazima ana matatizo hasa ya nguvu za kiume. Unajua kuwa dume kama wewe linakusaidia unaona ni ujanja!!!! Ukifikia hapo ujue hata kuchapwa wewe mwenyewe utaona kuwa ni ujanja.