Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,136
Jamani wifi yenu/shemeji yenu mashallah mungu anawez jalalia kupata member mwingine wa JF,Sasa alivyo ana miezi 7
Nimekutana na mwenzangu ambae tulipishana kidogo kuwatunngia mimba hawa wake zetu yeye mkewe kaenda jana zahanati ya kimara mwisho akaulizwa una miezi mingapi akasema 8 akaambiwa kuanzia sasa mumeo avae kile che kuvalishia uume..sijuii nii vileee.
....aaahhh mondoc hapana conda,..anyway hiyo hiyo watoto wanapita hapa,..sasa mi ndio wiki ijayo kumekucha mwezi wa nane nkasema niulize kwanza jamani ni kweli tutumie kificha uume mwezi wa 8 na 9 ati kisa tu mtoto atazaliwa na maniniii usoni kama awatatumia,binafi sina tatizo nikataka kupata uzoefu kidogo kwa wenye uwezo zaidi,......
Hakika uzazi kazi nzito
Nimekutana na mwenzangu ambae tulipishana kidogo kuwatunngia mimba hawa wake zetu yeye mkewe kaenda jana zahanati ya kimara mwisho akaulizwa una miezi mingapi akasema 8 akaambiwa kuanzia sasa mumeo avae kile che kuvalishia uume..sijuii nii vileee.
....aaahhh mondoc hapana conda,..anyway hiyo hiyo watoto wanapita hapa,..sasa mi ndio wiki ijayo kumekucha mwezi wa nane nkasema niulize kwanza jamani ni kweli tutumie kificha uume mwezi wa 8 na 9 ati kisa tu mtoto atazaliwa na maniniii usoni kama awatatumia,binafi sina tatizo nikataka kupata uzoefu kidogo kwa wenye uwezo zaidi,......
Hakika uzazi kazi nzito