Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Nimepata habari leo kuwa Mhariri Mtendaji wa New Habari Corporation ambao hutchapisha magazeti mafu ya Rai, Mtanzania, The African, Bingwa, na Dimba kuwa ndiye Mratibu wa Kampeni za JK.
Mhingo, ambaye mwaka 2005 akiwa Mwandishi wa Gazeti ya Mwananchi alichakachua picha za Salim Ahmed Salim na kutengeneza picha moja ikimwonyesha Salim akiwa na Wanachama wa Hizbu na hivyo kumpaka matope na hatimaye kufanikisha Dk Salim kutupwa nje ya harakati za kuwani Urais dhidi ya Dk Kikwete. Picha hizo zilisababisha Mhingo afukuzwe kazi na Mwanachi Ltd alikuwa akijihusisha/ kuhusishwa kwenye timu ya Kampeni ya Jk na alitumika kuwachafua 'wapinzani' wa JK kinyume na maadili ya Uandishi wa Habari.
Katika Gazeti la leo la Mwananchi kuna habari kuwa Waandishi wa gazeti hilo wamezuiwa kuambatana na masafara wa KAmpeni za Dk JK huko Mkoani Kagera na Mratibu huyo wa Kampeni za Dk JK, Mhingo Rweyemamu.
Mhingo, ambaye mwaka 2005 akiwa Mwandishi wa Gazeti ya Mwananchi alichakachua picha za Salim Ahmed Salim na kutengeneza picha moja ikimwonyesha Salim akiwa na Wanachama wa Hizbu na hivyo kumpaka matope na hatimaye kufanikisha Dk Salim kutupwa nje ya harakati za kuwani Urais dhidi ya Dk Kikwete. Picha hizo zilisababisha Mhingo afukuzwe kazi na Mwanachi Ltd alikuwa akijihusisha/ kuhusishwa kwenye timu ya Kampeni ya Jk na alitumika kuwachafua 'wapinzani' wa JK kinyume na maadili ya Uandishi wa Habari.
Katika Gazeti la leo la Mwananchi kuna habari kuwa Waandishi wa gazeti hilo wamezuiwa kuambatana na masafara wa KAmpeni za Dk JK huko Mkoani Kagera na Mratibu huyo wa Kampeni za Dk JK, Mhingo Rweyemamu.