Ati Magufuli Anajigamba kuagiza Wabunge Wafukuzwe Bungeni ili wakiwa Nje adeal nao Vizuri!

Naomba Mods Mfute uzi huu umekuwa Dubblicated, lakini Replica ya pili iko more expanded hiyo iachwe nawaomba
 
Dah... Ajabu sana... Wakati wengine wanapigania nchi isinyonywe na isonge mbele.... wengine wanapinga....akili za ajabu sana hizi
 
Wateteeni sana hao wanafiki na watopokaji wenu.

Sisi wapiga kura wao tutawashugulikia kabla hata ya Magufuli.
Mimi nakuheshimu mawazo yako ila siasa sio Ushabiki kama wa michezo its a real life! Wewe beza kebehi singizia, Ila Muda ndio Majibu! Magufuli ameua Uchumi hawezi kukusanya Kodi hivyo anatafuta kila jinsi ya kujiongeza, simlaumu ila anaposema Wapinzani Wanapinga bila Mantiki, moyoni anajua sio kweli na ni dhambi. Hakuna Mpinzani anayetaka Tanzania Waibiwe, The hell waliotaka Tanzania waibiwe ni Magufuli na Maccm wenzake waliowapa hao Wazungu Madini Bure Tangu 1997. Leo analia Machozi ya Mamba ili aonekane hero! Mbona analilia Mchanga na Asililie Dhahabu halisi asilimia 95%? Please! Magufuli namjua kuliko ajijuavyo hapo ni kuwa Amejizindulia Kampeni 2020 kabla ya Muda hakuna lingine, Hapo anawa enjoy kinoma noma! Magufuli aliyesema Mtu akisema kuna Njaa ashikwe awekwe ndani leo anawaambia, Ati analia kwa Uchungu wananchi Wananjaa Mnamwamini? Magufuli aliyetimulia Watoto 7900 Mitaani bila ya kufikiri mara mbili na Kuwatukanilia mbali, leo anawaambia anawaonea wanafunzi huruma mnaamini? Please!
 
Napenda Kumwambia Magufuli iwe ni Bungeni au Ni Nje ya Bunge, Mtanzania yeyote, Licha ya Mbunge! Anao Uwezo wa Kupinga au Kutofautiana au kukosoa sera yoyote ya serikali. Na sio tu hivyo mbunge au Mtanzania yeyote anaweza kupingana au kutofautiana na Kiongozi Yeyote wa Serikali ukiwepo wewe Magufuli (rais)

The hell wewe ni Mtumishi wa Uma, Mtumishi wa Wananchi, hujawekwa hapo kuwa Terrorist wa kuwatisha wananchi wasiwe na Uhuru wa Mawazo. Nawalaumu sana! Vyama vya Upinzani, Maana naapa kama Mungu aishivyo uhuni unaofanyika Tanzania, Uonevu wa Kisiasa Unaowafanyia Wapinzani kinyume na Katiba Nd. Magufuli, Niape, na Nasema hasa hasa! Niape ningepewa Uwenyekiti wa Chadema miezi miwili Tu! Mawili Ningeumailiza,aidha kwa mimi kuuwawa hadharani! Au Kwa mnaosukuma kupima Udhaifu na kisha kusukuma zaidi kujua you cant push anymore!

Wapinzani Tanzania ni Waoga sana, au Wanasikiliza Ndoto za alinacha za Kiongozi Mtu mzima Mwoga anayewapa matumaini kuwa every thing will be Okay, The hell everything is Not Okay!
Ripot nzima wewe umeona hilo tu ndio linamanufaa. Nyumbu hata kwa nguvu tutawavusha tu mto mara.
 
Wajinga kama wewe ni wachache sana
Mjinga ni wewe unayejifanya msemaji wa kila mtanzania. Serikali ilipotanua magoli na kuwa inawaswaga kama ng'ombe ilifanya mchezo mbaya sana wa kutengeneza wajinga wengi, wewe ukiwemo!
 
Wewe umelewa madawa ya baba wema sepe2 .Your thinking capacity is almost zero
Endelea kujitukana. Uzuri ni kwamba wanao judge ni wale wanaokusoma, mwenye akili hawezi kudai kuwa ameshikilia akili za watanzania zaidi ya milioni 20 wanaoweza kupiga kura. Sio Bashite kweli wewe?
 
Mimi nakuheshimu mawazo yako ila siasa sio Ushabiki kama wa michezo its a real life! Wewe beza kebehi singizia, Ila Muda ndio Majibu! Magufuli ameua Uchumi hawezi kukusanya Kodi hivyo anatafuta kila jinsi ya kujiongeza, simlaumu ila anaposema Wapinzani Wanapinga bila Mantiki, moyoni anajua sio kweli na ni dhambi. Hakuna Mpinzani anayetaka Tanzania Waibiwe, The hell waliotaka Tanzania waibiwe ni Magufuli na Maccm wenzake waliowapa hao Wazungu Madini Bure Tangu 1997. Leo analia Machozi ya Mamba ili aonekane hero! Mbona analilia Mchanga na Asililie Dhahabu halisi asilimia 95%? Please! Magufuli namjua kuliko ajijuavyo hapo ni kuwa Amejizindulia Kampeni 2020 kabla ya Muda hakuna lingine, Hapo anawa enjoy kinoma noma! Magufuli aliyesema Mtu akisema kuna Njaa ashikwe awekwe ndani leo anawaambia, Ati analia kwa Uchungu wananchi Wananjaa Mnamwamini? Magufuli aliyetimulia Watoto 7900 Mitaani bila ya kufikiri mara mbili na Kuwatukanilia mbali, leo anawaambia anawaonea wanafunzi huruma mnaamini? Please!

Magufuli aliyetimulia Watoto 7900 Mitaani bila ya kufikiri mara mbili na Kuwatukanilia mbali, leo anawaambia anawaonea wanafunzi huruma mnaamini? IPO kazi
 
Wajinga kama wewe ni wachache sana
Unajishawishi kabisa kumwita Mwenzio Mjinga kwa kuwa ana mawazo tofauti! Ndio Tanzania anayotujengea Huyu mtu! Ya nyufa na mafarakano, si muwaite tu Wapinzani ni Cocroche muwafanyie kama Rwanda ya 1994 eh! Kwa sababu gani? Mtabaki wenyewe Wazalendo Watupu! Ni Mshenzi tu anaita raia wake ni Wasaliti kwa kuwa hawakubaliani na Mawazo yake!
nyi
 
Kuiamini serikali ya ccm ni kujitoa ufahamu kwani maovu yote ya nchi hii wamefanya wao na hata hii issue ya mchanga ni mbwembwe tu lkn lazima wenye mchanga wao watabeba
 
Leo wapinzani wamekua watetezi ilhali wanawaeleza ukweli, kwann ccm msikiri kuwa mlikosea mkawaomba watanzania msamaha kwa dhati ya moyo wenu naamini kama lengo lenu ni kuwahadaa wananchi kuwa wapinzani wanaunga mkono wizi wa madini,kwa hilo mmeshafeli kabla ya kuanza poleni sana.Binafsi naona ccm ni sikio la kufa tu
 
Back
Top Bottom