Ati Lowassa na Sumaye nani Zaidi?

Kithuku

JF-Expert Member
Nov 19, 2006
1,395
208
Wakuu nimeukuta huu mjadala kwenye blog ya Mjengwa nikaupenda, nimeona niulete hapa tuutajirishe zaidi. Wapo wanaodai kuwa baada ya kuyaona ya Lowassa sasa wanahisi kumbe Sumaye hakuwa fisadi, vinginevyo angeshaanikwa kama sasa wanavyoanikwa kina Balali, Lowassa na hata Mkapa. Pia wanadai mambo aliyotuhumiwa Sumaye kama kukopa sh mil 50 NSSF (ambazo atalipa) na kuwa na mashamba (ambako watu wanafanya kazi halali ya kulima kwa nguvu zao) ni tuhuma ndogo kulinganisha na hela zilizochotwa BoT ambazo zimepotea na makampuni ya Richmond, IPTL nk ambayo yanakula bila jasho! Yuko aliyedai kuwa Sumaye kumbe alikuwa Premier mzuri sana! Details za mjadala wenyewe hizi hapa: http://mjengwa.blogspot.com/2008/02/fikiri-wangepewa-mtihani-huu-fred-na.html#comments
Wakuu mnasemaje?
 
Wakuu nimeukuta huu mjadala kwenye blog ya Mjengwa nikaupenda, nimeona niulete hapa tuutajirishe zaidi. Wapo wanaodai kuwa baada ya kuyaona ya Lowassa sasa wanahisi kumbe Sumaye hakuwa fisadi, vinginevyo angeshaanikwa kama sasa wanavyoanikwa kina Balali, Lowassa na hata Mkapa. Pia wanadai mambo aliyotuhumiwa Sumaye kama kukopa sh mil 50 NSSF (ambazo atalipa) na kuwa na mashamba (ambako watu wanafanya kazi halali ya kulima kwa nguvu zao) ni tuhuma ndogo kulinganisha na hela zilizochotwa BoT ambazo zimepotea na makampuni ya Richmond, IPTL nk ambayo yanakula bila jasho! Yuko aliyedai kuwa Sumaye kumbe alikuwa Premier mzuri sana! Details za mjadala wenyewe hizi hapa: http://mjengwa.blogspot.com/2008/02/fikiri-wangepewa-mtihani-huu-fred-na.html#comments
Wakuu mnasemaje?

Kama kujilimbikizia mali--- wanakaribiana [Lowassa 65% to Sumaye 35%] ikumbukwe kwamba ulimbikizaji wa Sumaye ulikuwa wa Kimachinga zaidi kulingana na ufahamu wake... wakati wa Lowassa ulikuwa wa hali ya juu kulingana na exposure yake... lakini intension n.k zilikuwa kwenye mgawanyo wa % hizo hapo juu...

Kama utendaji kazi ---- Lowasssa is 85% against Sumaye 15%


Lile jina la Sumaye halikuja hivi hivi wakuu... another justification ya ...u... wake ni kwenda kusoma management baada ya mazingira ya ku-apply hiyo management skills kuwa hayapo tena.
 
Lowassa weakness yake ni corrupt na arrogant, kashawafokea wakuu wa mikoa kama watoto, kasha fire Injinia on the spot and the list goes on.

Lakini anajulikana kuwa policy wonk kuliko hata rais, which lead some analyst to question our governments direction since neither the president nor PM is a policy wonk.

Sumaye strength yake, if you can call it that, ni kuwa alikuwa na kifua cha kuzuia maneno (in comparison Lowassa ana mihasira na mori iliyomfanya nkususa kzai ya PM)

Otherwise wote corrupt, Sumaye yessir man wakati Lowassa alikuwa hyper active to the point of insurbodination.Lowassa mtoto wa mjini zaidi Sumaye bonge la mkulima.

Kama siyo mambo ya corruption na bullyism, Lowassa was probably a better PM than Sumaye.
 
Ingawa Sumaye alikuwa anakula, lakini si kiasi cha kufikia kile kitu inaitwa UFISADI. Ikumbukwe kuwa milioni 50 za mkopo kutoka NSSF na mashamba ya Kibaigwa ilikuwa ni mizengwe ya wanamtandao kwa Sumaye kuelekea urais, tusisahau pia Sumaye alituhumiwa kununua nyumba ila ya waziri kitu ambacho hakikuwa kweli, the list of accusation goes on and on, but whatever goes around must come around. Lowassa bado ana safari ndefu ya kulipa yale madhambi aliyowatendea wengi kwenye kampeni kama kina Salim, Sumaye, Malecela, Mwandosya na wengi tu katika list.
 
Kama kujilimbikizia mali--- wanakaribiana [Lowassa 65% to Sumaye 35%] ikumbukwe kwamba ulimbikizaji wa Sumaye ulikuwa wa Kimachinga zaidi kulingana na ufahamu wake... wakati wa Lowassa ulikuwa wa hali ya juu kulingana na exposure yake... lakini intension n.k zilikuwa kwenye mgawanyo wa % hizo hapo juu...

Kama utendaji kazi ---- Lowasssa is 85% against Sumaye 15%


Lile jina la Sumaye halikuja hivi hivi wakuu... another justification ya ...u... wake ni kwenda kusoma management baada ya mazingira ya ku-apply hiyo management skills kuwa hayapo tena.

Wote mafisadi tu hakuna aliye na afadhali au zaidi!
 
Kama kujilimbikizia mali--- wanakaribiana [Lowassa 65% to Sumaye 35%] ikumbukwe kwamba ulimbikizaji wa Sumaye ulikuwa wa Kimachinga zaidi kulingana na ufahamu wake... wakati wa Lowassa ulikuwa wa hali ya juu kulingana na exposure yake... lakini intension n.k zilikuwa kwenye mgawanyo wa % hizo hapo juu...

Kama utendaji kazi ---- Lowasssa is 85% against Sumaye 15%


Lile jina la Sumaye halikuja hivi hivi wakuu... another justification ya ...u... wake ni kwenda kusoma management baada ya mazingira ya ku-apply hiyo management skills kuwa hayapo tena.
hiivi mkuu bado una msimamo huu
 
Ingawa Sumaye alikuwa anakula, lakini si kiasi cha kufikia kile kitu inaitwa UFISADI. Ikumbukwe kuwa milioni 50 za mkopo kutoka NSSF na mashamba ya Kibaigwa ilikuwa ni mizengwe ya wanamtandao kwa Sumaye kuelekea urais, tusisahau pia Sumaye alituhumiwa kununua nyumba ila ya waziri kitu ambacho hakikuwa kweli, the list of accusation goes on and on, but whatever goes around must come around. Lowassa bado ana safari ndefu ya kulipa yale madhambi aliyowatendea wengi kwenye kampeni kama kina Salim, Sumaye, Malecela, Mwandosya na wengi tu katika list.
duuuuh
 
Back
Top Bottom