firstcollina
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 349
- 21
Bubu,
Tunaruhusiwa kuchangia. Kuna kikundi kimeanzishwa cha Friends of Slaa (FOS) nikipata taarifa zaidi nitakuPM
Even me am in. Please do not hesitate to PM me
Bubu,
Tunaruhusiwa kuchangia. Kuna kikundi kimeanzishwa cha Friends of Slaa (FOS) nikipata taarifa zaidi nitakuPM
katika pita pita zangu nimeaona niiposti hii:
katika pita pita zangu nimeaona niiposti hii:
Kukipiku Chama Cha CCM inataka kazi tena kazi yenyewe iwe nzito sana, sio mchezo jamani kusema ukweli CCM imeota mizizi ndani ya Serikali. Kuking'owa CCM itachukuwa muda mrefu sana itabidi vyama vya upinzani viwe kitu kimoja Viungane pasipo na kuungana hakuna chama chochote cha Upinzani kinachoweza kukishinda CCM. mimi naombea Dr Slaa awe Rais wetu wa Mwaka 2010 Mungu amsaidie Ameen.
Tandao jipya.Tunaruhusiwa ... Kuna kikundi kimeanzishwa cha Friends of Slaa (FOS) nikipata taarifa zaidi nitakuPM
Bubu,
Tunaruhusiwa kuchangia. Kuna kikundi kimeanzishwa cha Friends of Slaa (FOS) nikipata taarifa zaidi nitakuPM
Kwa nini watanzania tunakuwa waoga eti ni vigumu sana kuing'oa CCM madarakani... why not kwani walizaliwa na hii nchi.. Watatolewa tu.. Marekani na Ulimwengu mzima ulifikiri Obama anapoteza muda wake lakini Historia ilikamilika iwe Tanzania nani kasema haiwezekani inawezekana tena kwa urahisi tu.. CCM CCM mpaka lini. Muda wao umekwisha..
Nashangaa watu wenye fikra potofu eti kwa vile alikuwa padri basi ataigeuza Tz. iwe ni chi ya kikristu huku ni kutaka kuleta vurugu za kidini. Mbona juzi mgombea mwenza wa CCM alipoteuliwa wakristu hawakubeba bango. Nyerere alikuwa mcha mungu sana mbona hakuigeza Tz ikawa ya wakristu tu. Acheni kuongea kama msiofahamu ukweli wa watanzania. Tz. imeongozwa na Kikwete, Mwinyi kwani waliigeuza nchi ikawa ya kiislamu? Wewe mwenye chuki na imani ya kikristu nadhani hapa si mahali pake siasa ni siasa na dini ni dini period usituletee kwikwi isiyo na mpango
Kwa nini watanzania tunakuwa waoga eti ni vigumu sana kuing'oa CCM madarakani... why not kwani walizaliwa na hii nchi.. Watatolewa tu..
Tumain bana ? kichefuchefu.Ni vigumu kwa Padre kuwa Rais wa Tanzania...BIG NO!
Mh mbona naona km kuna mkono wa Chama Cha Mafisadi... Ingawa ni nzuri kwa Dr Slaa kugombea but nadhani kazi aliyonayo ni ngumu mno!!!!! Isije ikawa ni mapandikizi ya CCM yenye mpango wa kuzorotesha bunge lijalo coz km Dr SLaa atakosa urais, na ubunge ndiyo hivyo tena... Asubiri 2015 kuingia tena mjengoni..Ohoooo... mapambano yatakuwa yamezoroteshwa kwa kiasi kikubwa!!!!
chadema iungane na vyama vyote Siyo TLP peke yake.Chadema iungane na TLP ?
.Ukiangalia kwa makini wanachi bado wapo usingizini tena huo usingizi ni mzito sana itabidi waamke wananchi wenyewe waone ukweli wa mambo kuwa Chama cha CCM hakina mpango wowote..
Kukipiku Chama Cha CCM inataka kazi tena kazi yenyewe iwe nzito sana, sio mchezo jamani kusema ukweli CCM imeota mizizi ndani ya Serikali. Kuking'owa CCM itachukuwa muda mrefu sana itabidi vyama vya upinzani viwe kitu kimoja Viungane pasipo na kuungana hakuna chama chochote cha Upinzani kinachoweza kukishinda CCM. mimi naombea Dr Slaa awe Rais wetu wa Mwaka 2010 Mungu amsaidie Ameen.