Askari Mnoko
Senior Member
- Oct 5, 2019
- 149
- 101
Ni ukweli uliodhahiri haikuwa penati,lakini tukio la Yondani kacheza faulo dhidi ya Kagere lipo wazi ,unadhani ni adhabu ipi ilikuwa sahihi kutolewa na mwamuzi ?hakukuwa na penati pale, hata mwamuzi wa pembeni alikataa hakuna penati pale ila wa kati akang'ang'ana ni penati.
Athumani anataka tufanya wajingaaaaaa! mpira tumeona vzr hakuna penati pale
Sent using Jamii Forums mobile app