Athumani Ally Maumba aliyetikisa miaka ya 1980s kwa kulawiti wanafunzi yupo wapi?

Kumbe na ww ni wa nyumbani?. Tatizo hatutaki kuongozwa na Kilaza kaka
Kihiyo alitoa Vyeti fake kugombea Ubunge akajiita Technician. Aliumbuliwa makamani akavuliwa Ubunge kwa aibu ya cheti fake. As a result wenye Elimu fake huitwa "Kihiyo".
 
Utakuwa umesahau ile Rap ya kwanza kuwika Tanzania. Kama sijasahau iliimbwa na Mzanzibar kwa jina Jabir. Ilikuwa na kibwagizo *"Sitapenda wengi kama Maumba"* Ilikuwa hit moja kali sana zaidi ya vigogo wa dunia enzi hizo Chaka Demus & Shaba Ranks
Ni kweli Saleh Jabir aliimba wimbo uliohusiana na Maumba,alichukua wimbo wa Vanila ice na kuutia maneno ya kiswahili,

Kwasasa Saleh Jabir anaishi UK,Huyu ni mmoja kati ya walioanza kuimba nyimbo za bongo flava kitambo sana,

Mkuu huyo Chaka Demus na Shaba Ranks walitamba sana miaka ya mwanzoni mwa 90's na mtindo wao wa Raggamuffin,hii ni kama Reggae music,

Shaba Ranks atakumbukwa sana na ule wimbo wake wa Mr lover lover,wimbo huu umekuja kuimbwa tena miaka ya hivi karibuni na Shaggy.
 
Maumbo hakuwanajisi watoto wa shule ya msingi Jamhuri.
Maumba aliwanajisi watoto wa shule ya mnazi mmoja na mtendeni ndio waliokuwa wanaenda kwa Maumba fundi wa kushona nguo karibu na ofisi ya kata ya mchafukoge.
alikuwa akiwashika wanafunzi wa kike matiti ilikuwa na bei yako,makalio na bei yake.akiduu mbele na bei ya na kulawiti ilikuwa na bei.wanafunzi wakitoka huko wanaenda kununua mihogo wa said mihogo baharia na juisi ya ukwaju kwa kidevu pale shule ya msingi mnazi moja.
Wanafunzi wa kike tulipata shida kwa kutaniwa hasa tuliokuwa tunapanda daladala ukitoa shilingi moja konda akusema kuwa unapesa bwana wenu si maumba.Hii ilikuwa miaka ya 1988/89.

Lakini hakutungiwa nyimbo kiboko ilikuwa kwa yule msichana Jamila wa mtaa wa mwanza ilala alibokolewa na mchagga muuza duka.
Mama chupaki we hatari umenikumbusha mbali sana saidi mihogo ex baharia yule enzi za headteacher chalila mnazi mmoja primary du dunia inakwenda kasi sana
 
Hili kihiyo nimesikia sana watu wakitukanwa hivyo nikajua ni tusi la kumtukana mtu aliyefulia
 
Kuna hili neno AROSTO ambalo limepata umaarufu tena baada ya kamata kamata ya kuhusu madawa ya kulevya,

Nakumbuka mwishoni mwa miaka ya 80's au mwanzoni mwa 90's neno arosto lilitumika kama kuonyesha kuna "umefulia" au huna kitu, mfano ukimuomba mtu; "Aisee naomba mia kama unayo?" Atakujibu "nipo arosto aisee" yaani "sina kitu" au mtu atamwambia mwenzake;

"Wewe arosto tu acha kelele" akimaanisha kua "Wewe huna kitu au huna pesa"
 
Kweli we ni kiogwe(kiazi-kipare) unamshikaje makalio!?
Jaribu kumuheshimu,ujue ana familia na nikiongozi.
Kosoa pale unapoona pamekosewa ila tambua yule ni kiongozi
Hahaha kumbe wa nyumbani siwezi kuongozwa na Ninja wa cheti cha mtu
 
Wahanga wa maumbo sasa hivi ndio wake zetu na wengine mama zenu, kama mkeo kasoma shule za mtaa wa maumbo miaka hiyo inabidii umuulize mkeo bikra yake nani kaitoa....kama ni muhanga dai fidia
 
Unanisahihisha wewe ndio ulinilipia ada.Daudi Bashite aliferi feri akaona apige shoti kati akanunua vyeti vya Paulo
Aliyekulipia ada kama akiona jinsi unavyoandika anaweza hata kutoa machozi aisee,hiyo ada aliyokulipia ni bora hata angenunua Kuku wa mayai na kuwafuga! teh! teh!
 
Maumbo hakuwanajisi watoto wa shule ya msingi Jamhuri.
Maumba aliwanajisi watoto wa shule ya mnazi mmoja na mtendeni ndio waliokuwa wanaenda kwa Maumba fundi wa kushona nguo karibu na ofisi ya kata ya mchafukoge.
alikuwa akiwashika wanafunzi wa kike matiti ilikuwa na bei yako,makalio na bei yake.akiduu mbele na bei ya na kulawiti ilikuwa na bei.wanafunzi wakitoka huko wanaenda kununua mihogo wa said mihogo baharia na juisi ya ukwaju kwa kidevu pale shule ya msingi mnazi moja.
Wanafunzi wa kike tulipata shida kwa kutaniwa hasa tuliokuwa tunapanda daladala ukitoa shilingi moja konda akusema kuwa unapesa bwana wenu si maumba.Hii ilikuwa miaka ya 1988/89.

Lakini hakutungiwa nyimbo kiboko ilikuwa kwa yule msichana Jamila wa mtaa wa mwanza ilala alibokolewa na mchagga muuza duka.
Upo sahihi kwa kuongeza hizo shule mbili M/Mmoja na Mtendeni ila usikatae kuhusu shule ya Jamhuri ambayo ndio ipo karibu zaidi na ilipokuwa ofisi ya huyo bazazi na kuna wasischana waliokuwa mtaani kwetu waliosoma Jamhuri walioathirika na ule unyama.
 
Nakumbuka nilikuwa shule ya Msingi Kibasila miaka hiyo...

Kuna Ng'ombe (Dume) mmoja tulimpa jina hilo la Maumba..

Hii ilitokana na jinsi anavyo washughulikia Ngo'mbe wenzake bila kujali jinsia...!!
 
Samahani wakuu nimesikia story mitaan kua huyu jamaa kwenye miaka ya 1980 alitikisa nchi kwa uhalifu wa kusodomize watoto takribani 100 na alishinda kesi ,wanasema watoto wa kike ilikua ukisikia Maumba unabana miguu,hadi kuna mafuta maarufu yalikua yakiitwa maumba ni mafuta gani hayo? Aliishi wapi huyu jamaa
 
Naamini ni miongoni mwa maadvocate wa msamaha wa rais kwa babu seya!

Mungu hakukosea kuutia kiberiti na moto Sodoma na Gomora.
Maana muwadhaniao hawamo kumbe wamo.
 
Samahani wakuu nimesikia story mitaan kua huyu jamaa kwenye miaka ya 1980 alitikisa nchi kwa uhalifu wa kusodomize watoto takribani 100 na alishinda kesi ,wanasema watoto wa kike ilikua ukisikia Maumba unabana miguu,hadi kuna mafuta maarufu yalikua yakiitwa maumba ni mafuta gani hayo? Aliishi wapi huyu jamaa
Mkuu jitahidi unapotoa mada uwe na data sahihi.huyo bwana maumba hakushinda kesi bali alihukumiwa kifungo na alishamaliza muda tu.bahati yake kwamba wakati ule sheria ya miaka 30 au maisha ilikuwa haijapitishwa bado
 
Back
Top Bottom