Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,774
- 93,547
Hao ni wapumbafu tu maana wao wenyewe wamesoma English tupuMzee hii kitu imeshikiwa bango na Richard Mabala, HakiElimu na Chambi Chachage huko Twitter wana tafiti za kufa mtu huwaambii kitu wanataka Kiswahili kitumike kufundishia